Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Ukipata wa kike tena? Una plan C?Maybe ila maisha yangu ni kama nilivyoelezea Kwa kifupi Nina kipato cha mwisho wa mwezi tu. Familia kubwa no life nyumba ya kupanga Kila Kodi ikifika ni stress tupu acha tu
Sijajua kweli, ngoja tufanye research 😅😅- Je sababu huwa nini hasa?.
Haya, Faizafox useme tena hauna bahati!.
Achana na imani za dini za kuna,Fanya kulingana na moyo wako unataka nini.Sasa si bora mtu ajue kabla kuliko kuzalisha mtoto wa watu akiwa hajui dhamira yako? Ningekua na pesa sa kutosha nongehama dini nioe wake 4 . Hata nikizipata Bado kuna tatizo kuhusu familia yangu ya sasa
Subiri DP WORLD waje uchanganye damu,Vigezo:
1. Awe muislamu
2. Umri miaka 20-26 au around that age.
3. Hakutakua na mapenzi kati yetu just need a child.
4. Mtoto akifika miaka 3 namchukua.
5. Malipo milioni mbili ukishika mimba. Milioni tatu mtoto akizaliwa salama. Milioni tano ukinikabidhi mtoto.
N.B. Mimi nimeoa na Nina watoto wa kike 4.
Nitafurahi mtoto akitoka dume ila hata akitoka vyovyote poa tu. Kama upo serious njoo pm.
Mwanamke kubeba mimba miezi 9 siyo mchezo na kuna risks kibao. Waongezee dau fika hata 100m.Vigezo:
1. Awe muislamu
2. Umri miaka 20-26 au around that age.
3. Hakutakua na mapenzi kati yetu just need a child.
4. Mtoto akifika miaka 3 namchukua.
5. Malipo milioni mbili ukishika mimba. Milioni tatu mtoto akizaliwa salama. Milioni tano ukinikabidhi mtoto.
N.B. Mimi nimeoa na Nina watoto wa kike 4.
Nitafurahi mtoto akitoka dume ila hata akitoka vyovyote poa tu. Kama upo serious njoo pm.
Maybe ila maisha yangu ni kama nilivyoelezea Kwa kifupi Nina kipato cha mwisho wa mwezi tu. Familia kubwa no life nyumba ya kupanga Kila Kodi ikifika ni stress tupu acha tu
Kwa sababu dini ya uislam ata ukristo zimekataza zinaa mkuu.ivo ukifanya ivo huna uhalali wa mtoto ni dhiki tu za baadhi ya familiia na kukosa elimu ya dini ndo wanakubali mtoto wa nje ya ndoa abaki kwa baba ila si sawa.Kwanini
sawa bossLet me wait and see. Mpaka kesho jioni kama hamna hata PM moja nitabadili mbinu
Manara itakua ana matatizo wanawake hawawezi kumvumilia..Wanawake wa kiislam wamejaa kibao Tanzania.
Tumia mbinu ya Manara tu. Ya kuoa na kuacha
🤣🤣🤣Nilikuwa najuwa nimeshaona watu wenye dharau kumbe bado.
Ndani ya miaka 3 mambo yakienda kama unavyotaka manzi anakuwa jumla ameingiza milioni 10