Natafuta mwanamke wa kuenjoy maisha

Itakuwa katoka mkoani huyu
Kwanza sie 40+ hatuna usungo...hahahaaa
Afu tunajua 'kuupokea' mtalimbo ukiingia...

Shoga, hili jukwaa gani maana nishaanza yangu
Tupo love connect Kama sikosei πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ fala wewe umenifanya nimecheka kwa nguvu
 
Tupo love connect Kama sikosei πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ fala wewe umenifanya nimecheka kwa nguvu
Huyu anatuchosha tu.
Kama kapata si aseme, maana watu tunajibebisha hapa afu ukute anatuchora tu ye na demu wake mpya....

Ila wanawake tunajua kujilipua.
Hv ndo mmekubaliana, ile unashuka tu stendi, 'namba unayopiga, haipatikani'..
Umetoka zako Bukoba huko mpaka Dar.
Si unaweza ufe.
 
Unatakiwa kujilipua kwa akili. Nauli ya kwenda na kurudi alipe in advance. Au uende kwa.shughuli zako it keeps tu muonane.
I'll nahisi huyu anataka wa daslam
 
Unatakiwa kujilipua kwa akili. Nauli ya kwenda na kurudi alipe in advance. Au uende kwa.shughuli zako it keeps tu muonane.
I'll nahisi huyu anataka wa daslam
Basi sisi wa mkoa ngoja tupite kwa kunyata....πŸšΆβ€β™€οΈπŸšΆβ€β™€οΈπŸšΆβ€β™€οΈπŸšΆβ€β™€οΈπŸšΆβ€β™€οΈπŸšΆβ€β™€οΈπŸ¦΅πŸ¦΅πŸ¦΅πŸ¦΅πŸ¦΅

Yeah, kujilipua muhimu.
Me nishajilipua sana Demi,
Na nishakoswakoswa na mikuki na mafumanizi kibao kwa hao masponsa wa Pm
 
Wewe nakuaminia loh. Mi siwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…