TheCrocodile
JF-Expert Member
- May 31, 2021
- 1,199
- 3,307
- Thread starter
- #141
Mbona unacheka mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unacheka mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimefurahi kusema unatafuta wa kupunguza naye stress huku ukikwepa kutumia neno kuchepuka[emoji23]Mbona unacheka mkuu?
Hahahahahaha....!! Ni tasfida tu hizo mkuu. The difference is the sameNimefurahi kusema unatafuta wa kupunguza naye stress huku ukikwepa kutumia neno kuchepuka[emoji23]
Ahsante kwa ushauri mkuu, japokua umenilaumu pia kwenye ushauri wako.
Is not easy mkuu kwa mwanaume rijali aliekamilika na anaeshiba vizuri kukaa miezi mitatu bila kufanya ngono. Wewe mkuu umewahi kukaa miezi mitatu bila kufanya ngono? Ni mtihani sana mkuu.
UKIMWI ma condom yapo mkuu nitayatumia.
Ushauri wako ni mzuri sana mkuu na una nia njema.Ngono ni mindset mkuu , kama kuna ratiba ya kwenda mwanza kila miezi mi3 why usivumilie? Ukifanya mazoezi ya kuchosha mwili hata kama unakula na unashiba hauwezi kuwa na nyg mshindo!! Sikushauri kutafuta manzi wa kuenjoy nae kipindi cha mpito ,kuna manzi wengine wachawi gusa unase unamsahau huyo wa mwanza mazima na masharti yako yote hayo asikuombe hela unayasahau wewe ndio unakuwa unamtumia bila kuombwa! Condom utavaa mara ya kwanza tu mara ya pili unauza mechi.
Haina kufeli mkuualma mudee
HapanaAcha udwanzi mkuu; Nikuunganishe ukale kitumbua changu?
Kwa ninavyokuona mwanangu naona kama wewe si mtoto wa mjini. Hivyo, ukipata mtoto wa mjini utaumia nakujuta.Habari wana JamiiForums.
Mimi ni mwanaume nina 33 yrs, nipo Dar, ni muajiriwa katika shirika fulani lisilo la kiserikali. Ishu kubwa inayonikabili ni upweke.
Natafuta mwanamke wa kula nae maisha, awe ndani ya Dar es salaam. Awe smart na mchangamfu, asiwe tegemezi, awe ni muelewa na mwenye exposure juu ya masuala mbalimbali. Mimi ni mpweke sana na mara nyingi huwa nakosa company.
Nahitaji mwanamke ambae anaweza kunipa company na pia tukawa tuna enjoy na pia kuliwazana. Sitafuti mahusiano ya muda mrefu, bali kupeana raha na company tu hapa na pale. Awe na umri wa kati ya miaka 19-33.
Tutapima magonjwa kama HIV, magonjwa ya ngono kabla ya kufanya chochote.
Check me PM tudiscuss zaidi kama una interest, na kama tutaelewana basi mengine yatafuata.
Hahahahahaha....!! Acha utani wa kijinga huo mkuu.Hapana
Namfaham mbona
We pelekea moto huko
Mm nakusaidia huku mwanza
Just joking[emoji23]
Unaweza ukawa sahihi kuhusu kutokua mtoto wa mjini....!! ila nina technic zangu kuhakikisha kuwa i will be in control of everything kwenye ishu ya mwanamke wa kutoleana stress.Kwa ninavyokuona mwanangu naona kama wewe si mtoto wa mjini. Hivyo, ukipata mtoto wa mjini utaumia nakujuta.
Ukirudi mwanza unitafute mkuuHahahahahaha....!! Acha utani wa kijinga huo mkuu.
Poa poa mkuu, lazima nitakutafutaUkirudi mwanza unitafute mkuu
Karibu sana Makoroboi near by Mwananchi Hosptl.
Ushauri wako ni mzuri sana mkuu na una nia njema.
Ila mkuu umewahi kukaa miezi mitatu bila kuchakata K?
Basi shukuru Mungu mkuu, maana ni mtihani kweli kweli.Nina Mke mkuu kwahiyo sijawai kukaa hiyo miezi mitatu.
ingia kuna kundi la watsup la wabunge toka COVID -19, ana namba ya Tigo, mfuate inbox.Haina kufeli mkuu
Mkuu unazinguaingia kuna kundi la watsup la wabunge toka COVID -19, ana namba ya Tigo, mfuate inbox.
Shukrani sana mkuuKila lakheri kwako.
Nisaidie kushangaaUnatafuta mwanamke wa kuenjoy nae maisha ila asiwe tegemezi?!
Kwamba mwanamke wa kuenjoy nae maisha ni lazima tu awe tegemezi?Nisaidie kushangaa