TheCrocodile
JF-Expert Member
- May 31, 2021
- 1,199
- 3,307
- Thread starter
-
- #381
Makuzi tuliyokulia ndo yametufanya tuwe watu wa wivu kwenye mahusiano?Kwa culture yetu na makuzi tulio kulia ni ngumu sana hii kitu mwanzo wata anza vizuri baadae wivu utaingia
okCha muhimu maelewano. Ukiona hadi umekubali kukopwa basi maana yake maelewano yalikua ni mazuri sana.
Yes mkuu iko hivyo. Unaweza mkopa mtu ambae huelewani nae?
Hapana kuna yule jamaa wa humu ulini-alert kuwa anakopa hela anakopa na mbunye....ndio nlikua nareferkwa hiyo Eve unataka kusema mi nakopwaga?
Unakunywa kvant mkuu? If yes karibu kwenye team na out is on me tukanywe weekends.Umeandika k vant nimepata hamu ghafla[emoji3][emoji3]! Hv unatumia k vant? Au mbwembwe
Natumia ndiyo mkuu...ahsanteUnakunywa kvant mkuu? If yes karibu kwenye team na out is on me tukanywe weekends.
Swadakta, tuchekiane pm for weekends mara moja moja, bills on me ila ni mwendo wa kvant tu hakuna Serengeti lite [emoji23]Natumia ndiyo mkuu...ahsante
Nimeufutilia MkuuFuatilia vizuri huu uzi uelewe mkuu
Oooh we nialike, uone chupa za vant zitakavolala chini huku mi nikiwa bado nimesimamaUmeandika k vant nimepata hamu ghaflaππ! Hv unatumia k vant? Au mbwembwe
Hahhaa...mm hayo malite hata kusip kidg siwezag...zaidi ni desperado labda na redds...Swadakta, tuchekiane pm for weekends mara moja moja, bills on me ila ni mwendo wa kvant tu hakuna Serengeti lite [emoji23]
Yaani hata mm jaman silewagi..ajabu nalewa wt annaπ€£Oooh we nialike, uone chupa za vant zitakavolala chini huku mi nikiwa bado nimesimama
Ni kama muungano wa Tanganyika na zenji, kuna vitu mnashea kuna vingine kila mtu anabaki na cha kwakeHii ni aina gani ya mahusiano?
Ni kama upendeleo flani hivi....Unakunywa kvant mkuu? If yes karibu kwenye team na out is on me tukanywe weekends.
Usingecomment ulichocommentNimeufutilia Mkuu
Yeah, kulingana na maelewano yatakayofikiwa.Ni kama muungano wa Tanganyika na zenji, kuna vitu mnashea kuna vingine kila mtu anabaki na cha kwake
π€£π€£π€£π€£π€£ππNi kama upendeleo flani hivi....
Ewaaah karibu sana mkuu kwenye kikosi Kvant,Henessy, desperado etcHahhaa...mm hayo malite hata kusip kidg siwezag...zaidi ni desperado labda na redds...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu nawe karibu aiseeNi kama upendeleo flani hivi....
πEwaaah karibu sana mkuu kwenye kikosi Kvant,Henessy, desperado etc
Yeah, unadhani huyo demu unataka kumpima miwaya ili iweje?Makuzi tuliyokulia ndo yametufanya tuwe watu wa wivu kwenye mahusiano?