Natafuta mwanamke wa kuenjoy maisha


Ngono ni mindset mkuu , kama kuna ratiba ya kwenda mwanza kila miezi mi3 why usivumilie? Ukifanya mazoezi ya kuchosha mwili hata kama unakula na unashiba hauwezi kuwa na nyg mshindo!! Sikushauri kutafuta manzi wa kuenjoy nae kipindi cha mpito ,kuna manzi wengine wachawi gusa unase unamsahau huyo wa mwanza mazima na masharti yako yote hayo asikuombe hela unayasahau wewe ndio unakuwa unamtumia bila kuombwa! Condom utavaa mara ya kwanza tu mara ya pili unauza mechi.
 
Ushauri wako ni mzuri sana mkuu na una nia njema.
Ila mkuu umewahi kukaa miezi mitatu bila kuchakata K?
 
Kwa ninavyokuona mwanangu naona kama wewe si mtoto wa mjini. Hivyo, ukipata mtoto wa mjini utaumia nakujuta.
 
Kwa ninavyokuona mwanangu naona kama wewe si mtoto wa mjini. Hivyo, ukipata mtoto wa mjini utaumia nakujuta.
Unaweza ukawa sahihi kuhusu kutokua mtoto wa mjini....!! ila nina technic zangu kuhakikisha kuwa i will be in control of everything kwenye ishu ya mwanamke wa kutoleana stress.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…