Acha kutukosesha fursa weweMungu atusaidie watanzania sijui Nani katuloga, hivi kweli Jambo Kama hili unaleta mtandaoni kweli!!
Lakini je ! Hizo pesa hina pa kuzipeleka ?, Mbona watoto yatima wanahitaji hata mtu wa kuwapa 200 kwa siku na wanakosa? Lakni je umeshindwa kuoa au kumiliki ndoa yako? Kama sio shetani anakusumbua Nini hiki looh!!!!
Vibomu lazima, natokaje out na nywele mbovuKwamba mwanamke wa kuenjoy nae maisha ni lazima tu awe tegemezi?
Kuna vibomu halafu kuna kuwa tegemezi.Vibomu lazima, natokaje out na nywele mbovu
Ooh sawa nimekuelewa sana.Kuna vibomu halafu kuna kuwa tegemezi.
Nipenyezee hata namba ya rafiki yako utakaeona atanifaa kwa hilo PM.Ooh sawa nimekuelewa sana.
Ungenifaa sana zamani
Evelyn Salt mmeshindwana?Nipenyezee hata namba ya rafiki yako utakaeona atanifaa kwa hilo PM.
Maisha ndo haya haya.
Huyo yupo commited sana tayari, hawezi hata kuchepuka.Evelyn Salt mmeshindwana?
Kakwambia hivyo? 😀Huyo yupo commited sana tayari, hawezi hata kuchepuka.
Yeah, we reached to that understanding.Kakwambia hivyo? 😀
Ha haaa poleHuyo maneno tupu
Basi tena sina mwingineYeah, we reached to that understanding.
Poa, haina kwereBasi tena sina mwingine
Khaaaaaaa we mchumba mbona muongo hivo????? Hayo tumeyaongea wapi.Yeah, we reached to that understanding.
Umesahau kwamba mi ni tegemezi???😂 Nimefeli hapo....Evelyn Salt mmeshindwana?
Kasema anakubali vibomu vya hapa na paleUmesahau kwamba mi ni tegemezi???😂 Nimefeli hapo....
Utakosa vitamu kwa uzembe wako...shauriroooooo....Huyo maneno tupu
Anataka afatwe badala ya yeye atafute😀. Kasema wewe maneno matupuShosti....
Wa hivo huwa hamaanishi....kama unabisha, we subiri mbeleni.
Rijali anajilipua tu Pm, hajali lolote.
Hapa tunadangwa live....