Natafuta mwanamke wa kuoa - Mtwara mjini

Natafuta mwanamke wa kuoa - Mtwara mjini

Mkuu hutumi Nauli , gharama za usaili kwa dada zetu juu yao

Polen na Jua kali hapo Mtwar mjn
Asante sana, ni kweli mtwara jua kali sana lakini tunaendelea na maisha.

NB: Ukiwa na mwanamke anayejiweza hata kwa nauli maana yake tayari unapata mwanamke ambaye pia ataweza kuisimamia familia vizuri hata ikitokea mume umetoka kidogo na pia atakuwa na ushauri wa kujenga familia pamoja na sio wale wa tuma nauli na ya kutolea
 
Asante sana, ni kweli mtwara jua kali sana lakini tunaendelea na maisha.

NB: Ukiwa na mwanamke anayejiweza hata kwa nauli maana yake tayari unapata mwanamke ambaye pia ataweza kuisimamia familia vizuri hata ikitokea mume umetoka kidogo na pia atakuwa na ushauri wa kujenga familia pamoja na sio wale wa tuma nauli na ya kutolea
Kila la Heri mkuu
 
Akija ndo mchakato wa ndoa hapohapo au itabidi arudi kungojea kama ndivyo sisitiza aje ba nauli ya kurudia pia
Akija kwa nauli yake, vikao vya wanaume tulishaweka kanuni kuwa hapo "ANASTAHILI SASA KUPEWA NAULI, ON TRANSIT ALLOWANCE".

Hapo itakuwa ni kutekeleza maelekezo ya vikao vya maamuzi ya wanaume.
 
Habari ndugu zangu.

Mtaniwia radhi kama nitakuwa nimekosea au utakwazika kwa ujumbe wangu.
1. Natafuta mwanamke anayehitaji mume wa kumuoa. Mwanamke ambaye yupo "intrinsic" na hilo jambo;
2. Umri wake uwe kuanzia miaka 25 hadi 33;
3. ASIWE NA MTOTO - kwa maana nyingine SIHITAJI SINGLE MOTHER (Naomba mnisamehe kwa hili kwa sababu sina ujasiri wa kulea mtoto wa mwanaume mwingine);
4. Angalau awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne (Form four)na kuendelea;
5. Awe anayejielewa na kujiheshimu na kuheshimu wengine;
6. Awe dini yeyote ile - mkristo au Muislam;
7. Asiwe wa mkoa mwingine - sihitaji mahusiano ya mbali labda awe tayari kuhamia mtwara mjini na akuje kwa nauli yake (Situmi nauli).

KUHUSU MIMI

1. Naishi mtwara mjini;
2. Nipo single na nina uhitaji wa mke;
3. Ni mtumishi wa umma (serikalini);
4. Mkristo wa katoliki ;
5. Najitambua, najali afya na nipo tayari kwa vipimo.

ASANTE SANA, KARIBU KWA MWENYE SIFA NA UHITAJI WA MUME.

NB: KAMA YUPO MWANAMKE AMBAYE ANATOKEA MKOA WA LINDI NA YUPO INTERESTED NAYE PIA NAFASI IPO WAZI - ANAKARIBISHWA MAANA LINDI NA MTWARA NI JIRANI SANA
Zungukia shule, au vituo vya kutolea huduma za afya Kuna ajira mpya wengi tu huko, tafuta muha wa kigoma weka ndani
 
Back
Top Bottom