Natafuta Mwanamke wa kuoa

Natafuta Mwanamke wa kuoa

Huyo lazima awe msabato aliyechangamka,hajaharibu ngozi,hajaharibu nywele,awe mcha Mungu,hanywi pombe halafu ana Tattoo kiunoni🙄
 
Ndugu wanajamvi. Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza.
Nimeamua kuacha na life hili la kisera na la kujiamulia nitakavyo na kuanza life litakalonifanya ku surrender na kuji limi au kulimitiwa kwenye baadhi ya mambo.

Pamoja na uamuzi huo muafaka kwangu, hili halienda patulo bila vigezo. Aina ya mwanamke ninayetafuta ni lazima awe na na tatoo kiunoni, pia asiwe ameharibu ngozi yake wala nywele zake kwa maremborembo, awe hanywi, pombe, awe mcha Mungu pia awe na elimu kuanzia masters na asiwe mtu wa kupenda social medias au udaku.

Zaidi asiwe mwanamke ambaye akivaa nguo inampendeza bali chochote atakachovaa anakifanya kionekane kizuri. Urefu wake asizidi wala asipungue cm 177, na uzito usizidi Kg 68.

Kama hayupo basi niachane nikakate mgomba niuweke ndani.

Nawakaribisheni...sitaki Inbox
Nafanya ushenga hapahapa

 
Hiyo masters ndio tatizo hapo..huwezi pata mwanamke mwenye masters akawa na sifa ya kua mke
 
Ndugu wanajamvi. Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza.
Nimeamua kuacha na life hili la kisera na la kujiamulia nitakavyo na kuanza life litakalonifanya ku surrender na kuji limi au kulimitiwa kwenye baadhi ya mambo.

Pamoja na uamuzi huo muafaka kwangu, hili halienda patulo bila vigezo. Aina ya mwanamke ninayetafuta ni lazima awe na na tatoo kiunoni, pia asiwe ameharibu ngozi yake wala nywele zake kwa maremborembo, awe hanywi, pombe, awe mcha Mungu pia awe na elimu kuanzia masters na asiwe mtu wa kupenda social medias au udaku.

Zaidi asiwe mwanamke ambaye akivaa nguo inampendeza bali chochote atakachovaa anakifanya kionekane kizuri. Urefu wake asizidi wala asipungue cm 177, na uzito usizidi Kg 68.

Kama hayupo basi niachane nikakate mgomba niuweke ndani.

Nawakaribisheni...sitaki Inbox
Hiyo option ya kukata mgomba na kuuweka ndani, naona ndiyo nzuri kuliko zote.
 
Hayupo mwanamke wa kufit vigezo vyako kwa asilimia mia.

Mvua zinanyesha sahivi
Finyanga wako umtakaye

Ukishindwa njoo Kaskazin huku kwa kina Lenie tukuhonge mgomba 😂😅
Mgomba unamhusu huyo
 
Hiyo option ya kukata mgomba na kuuweka ndani, naona ndiyo nzuri kuliko zote.

Maana huwezi kusema unataka mwanamke asiyependa social media na udaku, halafu wakati huo huo unamtaka akufuate inbox!!
Hapana mkuu, nimesema sitaki Unbox
 
sasa ufupi na kumiliki hisense Tv wapi na wapi?
Yaaniii…
3BAF70EF-9587-47AD-904A-4E7BE5E2EFE7.jpeg
 
Back
Top Bottom