Natafuta mwanamke wa kuoa

Song by Harmonize

Kwani Mimi Naniii🎶
Kwani Mimiiii naniii🎶
One Day I Used To Call My Mama To Tell Her That Am Falling Looove
Am singooo🎶
Am singoo agaaiiin🎶🎶
Weka uzi warembo waje pm...ila hakikisha una hela mdogo wangu..mapenzi bila pesa hutoboi
 
Usinifanya nirudi kwa mashangazi bhana. Nataka binti ambaye tunaweza kata shanga au cheni wakati wa shoo 🌹
Hiyo ni show kweli ??..🤣🤣🤣🤣
We endelea na malori yako tu.....@ephen njoo umchukue mpenzi wako bwana anazurula tu huku
 
😂😂😂😂😂😂Watuache mimi na wewe ni damu damu
Tena wakae mbali kama ardhi na mbingu. Sisi tunaelea katika anga letu la Upendo na kupendana ,huku tukipulizwa na upepo wa mahaba unaounganisha hisia na mioyo yetu.
 
Mkuu,
Mbeya yote hujaonaa embu be serious mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…