Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ephen_ kuja hapa😁, kumbe una tulingia na Usha kupa pesa za familia😁Nilimuunga bando la mwezi, na kumpa hela ya screen protector. Arudishe
Akuuuu huyu simtaki Hana hela
Weee kwani nanii amekuacha???Mi naona noma kuanzisha uzi ila nitakua nachungulia hapa wakijitokeza na mimi nibembeleze mmoja
Usinifanya nirudi kwa mashangazi bhana. Nataka binti ambaye tunaweza kata shanga au cheni wakati wa shoo 🌹Weeee mimi sikutaki mwanaume gani hata haunihongi jamani
Song by HarmonizeWeee kwani nanii amekuacha???
Kumbe wewe hupendi ma baharia😁, una penda marasta wenye vichenchi vya ghafla 🤣Weeee mimi sikutaki mwanaume gani hata haunihongi jamani
ephen_ uta chagua urudishe mwenyewe, au tuje tuvi Ibe Mimi na chama changu Cha wezi😁🤣Nipambanie arudishe vitu Vyeti huyo
na wewe si uli Sema uko ma Luca😁, au wivu ume Anza 🤣🤣Msinibabaishe! Huko juu anachat na mpenzi wake
Mimi nimechora tatuu ya jina lako ephen kuzunguka moyo wanguu😃😃😃😃Mimi nipo na Lucas Mwashambwa sitaki shoboooo🤸🤣
Miss gf hamtaki huyo pyeeeeeeeee
Intelligent businessman muite na huyo kaka ako aje aone ninavyopendwa na Luca wangu🤸😍Mimi nimechora tatuu ya jina lako ephen kuzunguka moyo wanguu😃😃😃😃
Mimi nimebadili hadi jina la mtaa wangu naoishi.napoulizwa unaishi mtaa upi . Mimi nawajibu nasema ephen. Wanabaki wanauliza huo mtaa upo wapi.Intelligent businessman muite na huyo kaka ako aje aone ninavyopendwa na Luca wangu🤸😍
😂Lucas unanivunja mbavu zanguMimi nimebadili hadi jina la mtaa wangu naoishi.napoulizwa unaishi mtaa upi . Mimi nawajibu nasema ephen. Wanabaki wanauliza huo mtaa upo wapi.