Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa zote ulizotaka Sina..!
Ipo, hiyo ni tort of negligenceNdio kwanza una 25yrs🙄.
Anyways hivi wakuu hakuna namna mtu anaweza kuwashitaki madaktari kwa kusababisha kifo cha mtu kwa uzembe?,.
Wewe akili huna bwana katafute kazi ya kufanya ukafanye.Nikimpampu hata show moja ilimradi apaate mimba
😄😃😃😃😃😃😄😃😃Sifa zote ulizotaka Sina..!
Sawa mkuuIpo, hiyo ni tort of negligence
Asante kwa mwongozo rafikiKwa kuwa hayo ni baadhi ya maswali utakayoulizwa mfano hatua ulizochukua baada ya tukio kutokea na ulisaidiwa vipi?
Ni ngumu kusaidiwa kama hukulalamika ngazi ya chini kwanza.
Wewe bado ni mtoto...hata wanawake hujawajua vema.kwa umri endelea kujijenga mwenzangu.ukikomaa utakutana na mwanamke sahihi.Nikimpampu hata show moja ilimradi apaate mimba
Ina wezekana, ila mpaka mgundue kuna mistake ili fanyika.Ndio kwanza una 25yrs🙄.
Anyways hivi wakuu hakuna namna mtu anaweza kuwashitaki madaktari kwa kusababisha kifo cha mtu kwa uzembe?,.
It's your choice hiyo haizuii watu kutoa maoniNyie wotee niliowa ""Quote"" punguzeni hasira na maisha ya mtu.
Mimi binafsi raisi wa kataa ndoa nilipata mtoto wa kwanza nikiwa na miaka 25
Na nimepata watoto wa mwisho (mapacha) nikiwa na miaka 34
Na sasa ni baba wa watoto wa 4 sina sina habari ya ndoa na sitaki ndoa.
Iko hivi ....
Kila mtu ma staili yake ya maisha na usilete dharau na matusi kwa life style ya mtu kisa hajafata life style yako
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Baada ya kuskiliza podcast ya Sophi na Bumpy....I fear men🙌Nina 25 years, nimeajiriwa ni mrefu, mweupe kiasi nahitaji mwenyewe sifa zifuatazo:
19 to 32 years
Mweupe na beautiful
Mrefu kiasi
Sio mnene wala mwembamba sana
Mwenye dimpoz
Awe tayari kushiriki tendo
Mwenye kujua kulea mtoto
Nitamtunza kila kitu kuanzia ujauzito mpaka mtoto akifikisha 3 years nitatoa hela shillingi milioni tano cash
Sihitaji ndoa wala mahusiano
Kama una vigezo njoo pm au mshirikishe rafiki yako/dada yako
Mtoa mada ni Tumbili wa mjiniUna 25 years unatafuta mwanamke wa kuzaa nae ila awe "mweupe na beautiful"
Wewe ni nyege zinakusumbua.
Kaa chini utulie.
Namna gani mwanetu, unataka specifications kali hivo kwa miaka 25 tu. Akili za tumbili hiziNina 25 years, nimeajiriwa ni mrefu, mweupe kiasi nahitaji mwenyewe sifa zifuatazo:
19 to 32 years
Mweupe na beautiful
Mrefu kiasi
Sio mnene wala mwembamba sana
Mwenye dimpoz
Awe tayari kushiriki tendo
Mwenye kujua kulea mtoto
Nitamtunza kila kitu kuanzia ujauzito mpaka mtoto akifikisha 3 years nitatoa hela shillingi milioni tano cash
Sihitaji ndoa wala mahusiano
Kama una vigezo njoo pm au mshirikishe rafiki yako/dada yako