Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

Umepiga mahesabu fresh maana unapostaafu na 60 mwanao atakuwa form five Ivo six na college atasomea kiinua mgongo
Hizi hofu ndio zinawaua wanaume mapema kwa kuogopa yajayo badala ya kuangalia sasa hivi namna ya kuweka miundombinu itakayomwezesha mtoto kusoma bila shida, wewe mpigie pande tu mkuu itajulikana mbele kwa mbele
 
Hizi hofu ndio zinawaua wanaume mapema kwa kuogopa yajayo badala ya kuangalia sasa hivi namna ya kuweka miundombinu itakayomwezesha mtoto kusoma bila shida, wewe mpigie pande tu mkuu itajulikana mbele kwa mbele
🀣huyu ni jeuri lazima atikiswe...hata Ivo maisha anayo yeye sisi ....afanye maisha yake
 
🀠🀠🀠 Jobless mwenzangu naona umechoka kuishi bila katoto, ukipata wengi na mie niunge na mmoja nipate mtoto hata mmoja, na mie niitwe baba. Umri unatutupa alafu tupo kwa wazazi, maaha hata madogo myumbani yanaona tunalingana
Kwa nini bado kwa wazazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…