Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Hizi hofu ndio zinawaua wanaume mapema kwa kuogopa yajayo badala ya kuangalia sasa hivi namna ya kuweka miundombinu itakayomwezesha mtoto kusoma bila shida, wewe mpigie pande tu mkuu itajulikana mbele kwa mbeleUmepiga mahesabu fresh maana unapostaafu na 60 mwanao atakuwa form five Ivo six na college atasomea kiinua mgongo
He he he he heMale 42, natafuta mwanamke wakuzaa nae japo na mie niitwe baba.
Huduma zote kuanzia mimba inapoingia mpaka kujifungua na malezi ya mtoto na mama yote juu yangu.
Mwanamke awe tayari kushika mimba kabla ya mwaka huu kuisha.
π€£huyu ni jeuri lazima atikiswe...hata Ivo maisha anayo yeye sisi ....afanye maisha yakeHizi hofu ndio zinawaua wanaume mapema kwa kuogopa yajayo badala ya kuangalia sasa hivi namna ya kuweka miundombinu itakayomwezesha mtoto kusoma bila shida, wewe mpigie pande tu mkuu itajulikana mbele kwa mbele
YUpo serious afu...Itakuwa anakaribia kudieπ€£π€£π€£π€Έπ€Έπ€ΈNajua anatania
π€£π€£π€£π€£He he he he he
ππ Afe tu peke yake asituachie mjane hapaYUpo serious afu...Itakuwa anakaribia kudieπ€£π€£π€£π€Έπ€Έπ€Έ
π ππ€ π€ π€ Jobless mwenzangu naona umechoka kuishi bila katoto, ukipata wengi na mie niunge na mmoja nipate mtoto hata mmoja, na mie niitwe baba. Umri unatutupa alafu tupo kwa wazazi, maaha hata madogo myumbani yanaona tunalingana
Nimehakiki ID mara mbili mbili nakwambia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
π€ π€ π€ Itakuwa kasimangwa sana nyumbani, kaona isiwe tabuπ π
Hapana ni tofauti kabisa...huyu mwamba anatafuta mtoto na siyo mkeUmejieleza Kwa kutumia njia ndefu Ya kuzunguka!
Ungeweza Kusema 'NATAFUTA MKE' Basi maneno mawili tu ukimaanisha Kitu kile kile.
Kabisa...Ngoja tusikie kama atapata.π€ π€ π€ Itakuwa kasimangwa sana nyumbani, kaona isiwe tabu
Kwa nini bado kwa wazazi?π€ π€ π€ Jobless mwenzangu naona umechoka kuishi bila katoto, ukipata wengi na mie niunge na mmoja nipate mtoto hata mmoja, na mie niitwe baba. Umri unatutupa alafu tupo kwa wazazi, maaha hata madogo myumbani yanaona tunalingana
Akipata na mie nimepataa, nitatembelea tu nyota yake πππKabisa...Ngoja tusikie kama atapata.
Hatuna kazi mkuu. Home chakula bure kulala bureKwa nini bado kwa wazazi?
π πAkipata na mie nimepataa, nitatembelea tu nyota yake πππ
π€£π€£π€£π€£ππ Afe tu peke yake asituachie mjane hapa