Mkwezi1987
Member
- Nov 12, 2017
- 5
- 12
Sofa?😅Hello Wana jf
Naitwa B ,umri wangu 32,nipo Mwanza,dini mkristu,natafuta mke wa kuoa mwenye sofa zifuatazo
Umri kuanzia 23nakuendelea,elimu kidato Cha nne nakuendelea,mwenye akili na utyr wa kuishi na mume,mwenye hofu ya Mungu.
Karibu pm kwa mawasiliano zaidi
Heee weweSofa?😅
Wanawake wanaoutumia huu mtandao (JF), wengi wao hawaoleki
Hata wabibi?Umri kuanzia 23 na kuendelea
umri kiuzibe yani una maana wewe upo below 23?Umri umeniwekea kiuzibe
Kweli kitotoDah jf watu wanatafuta wake wa kuowa wakati mimi huku nawakimbia...kwa mfano hiki kitoto cha form three kimeniganda mpaka baasi😂😂😂View attachment 2425021
Wewe na huyu mtoto ni pipa na mfuniko!Dah jf watu wanatafuta wake wa kuowa wakati mimi huku nawakimbia...kwa mfano hiki kitoto cha form three kimeniganda mpaka baasi😂😂😂View attachment 2425021
"Ninakapelekea moto mpaka kamekolea kwerikweri" in magufuri voice 😁😁Wewe na huyu mtoto ni pipa na mfuniko!
Tobaa 🤣Dah jf watu wanatafuta wake wa kuowa wakati mimi huku nawakimbia...kwa mfano hiki kitoto cha form three kimeniganda mpaka baasi😂😂😂View attachment 2425021
Above mbali huko🤣🤣umri kiuzibe yani una maana wewe upo below 23?
Amesema kuanzia miaka 23 na kuendelea. Wewe upo hapo kwenye "nakuendelea" kwaiyo una nafasiSisi wa kuanzia 31 hututaki mkuu 😂
Ata kuandika hakajui🤣🤣🤣🤣 kimbia hio miaka 30Dah jf watu wanatafuta wake wa kuowa wakati mimi huku nawakimbia...kwa mfano hiki kitoto cha form three kimeniganda mpaka baasi😂😂😂View attachment 2425021
Si ndo hapo sasa🤣🤣anaubaguzi huyu nyieSisi wa kuanzia 31 hututaki mkuu 😂
Mimi mwizukulu mgikuru kila sehemu ninapoenda kuishi lazima atokee mtoto wa kike wa kuniganda na mara nyingi mwisho wake huwa sio mzuriTobaa 🤣
Em kaambie kakazane kusoma ndio kawe hata kanajua kuandika vizuri.
anatunyima fursa huyuHeee wewe
Utakuja kutupiwa majiniMimi mwizukulu mgikuru kila sehemu ninapoenda kuishi lazima atokee mtoto wa kike wa kuniganda na mara nyingi mwisho wake huwa sio mzuri