Mkwezi1987
Member
- Nov 12, 2017
- 5
- 12
Hello wana JF,
Naitwa B, umri wangu 32, nipo Mwanza, dini Mkristu.
Natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo;
Umri kuanzia 23 na kuendelea, elimu kidato cha nne na kuendelea, mwenye akili na utayari wa kuishi na mume, mwenye hofu ya Mungu.
Karibu PM kwa mawasiliano zaidi.
Naitwa B, umri wangu 32, nipo Mwanza, dini Mkristu.
Natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo;
Umri kuanzia 23 na kuendelea, elimu kidato cha nne na kuendelea, mwenye akili na utayari wa kuishi na mume, mwenye hofu ya Mungu.
Karibu PM kwa mawasiliano zaidi.