Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Usiogope ndio ukweli kama nimfuatiliaji.Naogopa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiogope ndio ukweli kama nimfuatiliaji.Naogopa
Watakwimu wanasema dar ndoa 300 huvunjika kila mwezi - hata hivyo mna bahati kumpata huyu mtaka mwenza ambaye hajawahi olewaCha kushangaza dar kuna idadi kubwa ya watu kuliko mikoa yote Tanzania.
Dah ndoa 300 kwa mwezi ? Hii ni noma mkuuWatakwimu wanasema dar ndoa 300 huvunjika kila mwezi - hata hivyo mna bahati kumpata huyu mtaka mwenza ambaye hajawahi olewa
🤣🤣🤣 Totoo vipi ulisikilizwa?Dada punguza kigezo Cha umri, tuishi pamoja
Wapi wewe! Nliambiwa nkapige ny_t_(e,o)🤣🤣🤣 Totoo vipi ulisikilizwa?
🤣🤣🤣🤣Wapi wewe! Nliambiwa nkapige ny_t_(e,o)
Watoto wenzangu si Ndo kama kina wewe!🤣🤣🤣🤣
Kwani watoto wenzio hujawaona?
Njoo pm miaka yangu hii Cc ephen_Habari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
😂😁😁😁Watoto wenzangu si Ndo kama kina wewe!
Umri sio Shida tunaaangalia utayari
muhimu kujitetea😂😁😁😁
Kabisa kaka 🤣😁muhimu kujitetea
Yewoooomi!! Kwahiyo mimi umeniona mtoto mwenzio🙆🙆🙆Watoto wenzangu si Ndo kama kina wewe!
Umri sio Shida tunaaangalia utayari
Hivi nawezaje kukufafanulia vizuri bila kuonekana najitetea wala kukuundermine?Yewoooomi!! Kwahiyo mimi umeniona mtoto mwenzio🙆🙆🙆
🤣🤣🤣Hakuna namna!Hivi nawezaje kukufafanulia vizuri bila kuonekana najitetea wala kukuundermine?
Ila ndo hvo totoo🤣🤣🤣Hakuna namna!
Totoo mimi sio mtoto mwezio😅Ila ndo hvo totoo
Kama upo below 34 itikia salamu, hujambo mdogo wangu?Totoo mimi sio mtoto mwezio😅