Natafuta mwanume anaekunywa pombe awe rafiki

Ukilewa usichati maana Badala ya kuandika neno nimefiwa🀣yatakukuta unaandika "nimefiliwa"
 
Dah mwanangu hapana Yan nitafute mzinzi mwenzangu watoto watakuwa katika malezi yapi mkuu
Walev wanaupendo na wanasaidia sana, hata kimawazo, watoto hawahusiani na ulevi set standards zako kwenye familia yako
 
Una uhakika unachokisema, mtu akiamua kufanya jambo ni yeye mwenyewe kila mtu na starehe yake, acha kujidai unajua sanaa kuhukumu,
Mlevi hana maamuzi sahihi.
Mlevi anakushenyenta leo kesho anajuta.
Acha ushoga kama Agrey kaushindwa hata wewe umekushinda u anajitutumua tu hapa.
 
Una agenda ya siri.Si burebure tu uanze kupenda watu wanaolewa pombe,kuongeaongea bila kujihimili na kutukana matusi kama gunia saba.
 
Una agenda ya siri.Si burebure tu uanze kupenda watu wanaolewa pombe,kuongeaongea bila kujihimili na kutukana matusi kama gunia saba.
Hapana kwa kweli, hata Yesu alikuja kwa ajili yao, lakini kila mahali wanatengwa na wanasemwa vibaya lakn ni watu wenye moyo mzr, ni kweli nilipata kazi nzr kupitia mlevi mmoja sitaki kusema isije ikatokea yupo humu, baada tu ya kumaliza masters yangu yeye ndiye aliyenisaidia,
 
Muache kwanza jaman yuko bz leo, nimemuacha anagonga supu ya kuku aingie job
Anhaaaa owkeiyy nimeshakonekt dots.😷😷😷😎😎😭
Makubwa haya JF stay at your own risk
 
Maisha yamekua magumu kiasi hiki mpaka mmebadili mbinu za udangaji?
Wewe kaka kila mtu ana style yake ya kutafuta marafk, elimu inanilipa pesa inayonitosha wala sihitaji pesa ya mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…