Natafuta mwenza (mume)

Status
Not open for further replies.
Mkuu heshima kwako, sifa ya mwanamke kwa dunia ya sasa ni chura
 
Mimi nimeoa, unataka taarifa gani nyingine nikupe
Nilishangaa hujafungiwaga nilishtuka maana ningekushtaki ila siku hizi sikupendi kama zamani unamaandishi Yako yananikera zamani ilikuwa nikiona unacomment mahali najawa na upendo saivi sijui najawa na Nini??
 
Nilishangaa hujafungiwaga nilishtuka maana ningekushtaki ila siku hizi sikupendi kama zamani unamaandishi Yako yananikera zamani ilikuwa nikiona unacomment mahali najawa na upendo saivi sijui najawa na Nini??
Utanipendaje mume wa mtu?
Mimi sitaki kupendwa na mtu yoyote humu
 
Chura muhimu mama kama ipo basi nakuja
 
Utanipendaje mume wa mtu?
Mimi sitaki kupendwa na mtu yoyote humu
Hujawahi kujua eh Kuna upendo wa mapenzi na upendo wa agape Kama hujui Sasa mie siwezi kukupenda kimapenzi hata siku Moja hasara unayotu Tena nyingi .

Kubwa umeoa mie sipendagi vilivyotumika unajua hata mwanaume mwenye mtoto njee siolewi naye .
 
Nilishangaa hujafungiwaga nilishtuka maana ningekushtaki ila siku hizi sikupendi kama zamani unamaandishi Yako yananikera zamani ilikuwa nikiona unacomment mahali najawa na upendo saivi sijui najawa na Nini??
Sio kunipenda tu hata kuniquote na mention...unaweza kuacha pia
 
Hujawahi kujua eh Kuna upendo wa mapenzi na upendo wa agape Kama hujui Sasa mie siwezi kukupenda kimapenzi hata siku Moja hasara unayotu Tena nyingi .

Kubwa umeoa mie sipendagi vilivyotumika unajua hata mwanaume mwenye mtoto njee siolewi naye .
Naongeza sauti...nimeoa na usinipende tena
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…