Astaghafirullah! Msalie mtume kaka!Mi napenda sana tiGo kujiexpress vp hii huduma nayo nitaweza kupata nimefikiria kigezo kilicho kuwa kikinikabili tayari kinawezekana kukitengua.
Mi ugonjwa wangu ni tiGo tu sasa sijui utakuwa unanipa tuwekane wazi.
Dada Inshalaah!AAK,mimi niko tayari kujiunga na uislam,shida yangu ni moja. Sipendi mwanamke mwenye uzito zaidi ya kilo 90,mimi natokea pemba-nadhani unajua kwetu ukitaka kumkaanga samaki lazima umgeuze,na la mwisho nimejifunza mambo mengi ya ughaibuni nina imani ukiniambia hayo hayatatutengenisha niambie nimwage mistari,
Kat 786
Astaghafirullah! Msalie mtume kaka!
Wewe muhindi?
Kama si muhindi good luck in your task. Wahindi wanakatazwa na dini yao kuoa wahindi wenzao wa class tofauti, seuze mtu ambaye si muhindi?
Wewe muhindi?
Kama si muhindi good luck in your task. Wahindi wanakatazwa na dini yao kuoa wahindi wenzao wa class tofauti, seuze mtu ambaye si muhindi?
jamaa wanaofanya kazi za ndani kwa wahindi wanawamega sana
hao warembo. ila taabu kama unakula mama mwenye nyumba ujue mshahara
ndio utakuwa unausikia tu au utapata kiduchu sana. bora wale wanaomega
mabinti wa mwajiri wao.
halafu ukiwaona jamaa wanavyojikausha! utafikiri mabwege flani hivi kumbe wanajimegea kwa taratibu tu.
kama upo siriasi sana basi ongea na hao jamaa watakupa mbinu tu.
...kumbe ndio maana hawaaachi, ...utaikia "jumaaaaaaaaaaaaaaa, wewe nini bana....kila siku chelewa chelewa kazini,...haya peleka mama sokoni kisha osha ile sufuria jikoni, kirudi nikute ushaosha gari angu!,..." rigwaride lote wao wapo wapo tu miaka nenda rudi, na watoto wao wanawaunganishia ajira humo humo kwa wahindi ha ha haaa π
lakini hawa jamaa kwa nini wanapenda sana jina la Juma?
...bana weeh, sijui...labda ndio rahisi kwao kulitamka π
Mbu..
Na Shabani je? ha ha
Mtafuta Mhindi!
Mabinti wa kihindi sura na nywele ni matata sema wamepigwa pasi takatifu makalio/flat skrini,kuhusu kupenda na mengineyo sijui ila wanapenda kuchukuana wenyewe kwa wenyewe.