Natafuta Rafiki, Mchumba

Natafuta Rafiki, Mchumba

Mi napenda sana tiGo kujiexpress vp hii huduma nayo nitaweza kupata nimefikiria kigezo kilicho kuwa kikinikabili tayari kinawezekana kukitengua.
Mi ugonjwa wangu ni tiGo tu sasa sijui utakuwa unanipa tuwekane wazi.
Astaghafirullah! Msalie mtume kaka!
 
Poa mtuwangu miminimetendwa nasitaki kutendwa tena nikotayali ila niko nawatoto wa huyu mtu aliye nitenda jeutanipokea?
 
Dada Inshalaah!AAK,mimi niko tayari kujiunga na uislam,shida yangu ni moja. Sipendi mwanamke mwenye uzito zaidi ya kilo 90,mimi natokea pemba-nadhani unajua kwetu ukitaka kumkaanga samaki lazima umgeuze,na la mwisho nimejifunza mambo mengi ya ughaibuni nina imani ukiniambia hayo hayatatutengenisha niambie nimwage mistari,
Kat 786

Mtani umesahau na mambo ya kule gulioni
 
Eka Mangi umemuuliza shangazi mchumba anatafutwaje? haukupitia unyago au jando? haya wataka mchumba wa kike au kiume.
 
Jamani mie natafuta demu wa kihindi, hivi ni gia gani nitatumia kuwaningia naona huko juu watu leo ni ufisadi,mafisadi wa kihindi tuuuuu!!
mie nimeona vyema nitafute demu wa kihindi nijipooze na sory za baba zao mafisadi.
Prett na wengineo nipeni tactics za kuwaingia mademu wa kihindi kwani ni wazuri balaa umpate mwenye jicho la kulegea hata mechi utauza, kiuno balaa, nitatumia njia gani???
 
Wewe muhindi?

Kama si muhindi good luck in your task. Wahindi wanakatazwa na dini yao kuoa wahindi wenzao wa class tofauti, seuze mtu ambaye si muhindi?
 
Wewe muhindi?

Kama si muhindi good luck in your task. Wahindi wanakatazwa na dini yao kuoa wahindi wenzao wa class tofauti, seuze mtu ambaye si muhindi?

...aaaaarrggggh, mbona unamkatisha tamaa? ...dhana hizo zishapitwa na wakati 🙂 Ngoma Nzito, kwa kuanzia upo wapi? bongo au ughaibuni? Kama ni bongo, upo Dar au mikoani?
 
Wewe muhindi?

Kama si muhindi good luck in your task. Wahindi wanakatazwa na dini yao kuoa wahindi wenzao wa class tofauti, seuze mtu ambaye si muhindi?

Hajasema anataka kuoa. He probably just wants to hit it and quit...

Na inategemea yuko wapi....huku wapo wengi walio-adopt mila za Kimagharibi na hawa-mind interracial dating...
 
Nenda India wako kibao huko, utashindwa wewe.
Hakuna cha nini wala nini Wahindi wanaolewa na kila mtu.
Hapo Tanzania wahindi wanaonekana mali sana kwa sababu isi wananchi na wanasiasa tumekweza class yao juu ya class zetu wenye ngozi nyeusi.

Nina hofu na nia yako ya kutafuta demu wa kihindi, kulipiza, unalipiza nini ??

Hata ukimpata binti wa Fisadi wa kihindi mwenyewe bado unakuwa hujalipiza uovu wa baba yake kwa kumkata mjengo binti huyo.

Ikitokea kwamba Binti huyo wa kihindi akakuchengua kinoma kiasi cha kufa upendo na kumfanya mke, hayo malipizi yako utajitwisha mwenyewe maisha yako yote au utafanyaje?

Unataka kulipiza?
Tangu lini tendo la kujamiiana kwa hiari kwa kutumia viungo mahususi kwa kazi hiyo ni tendo lenye uzito wa adhabu?

Utaadhibu? Utaadhibiwa? Au wote mtatumikia adhabu kwa pamoja???
 
ndugu yangu mmoja aliakuwa na hamu kama wewe akaambiwa sharti alale na dadA yake
je uko tayari??
 
Mwanangu Ngoma nzito malizana nao, nami pia nina hasira nao kinoma, anyway ukifanikisha nielekeze mbinu nami nifanye mambo ila currently nami nimetega kuna kimeo cha kidosi kimechoka kidogo so ndo nakilia timing.

Target ni kuhit kisha nduki hakuna kucheki nyuma mara za kumwaga wala nini.

Peace,

Killuminati
 
jamaa wanaofanya kazi za ndani kwa wahindi wanawamega sana
hao warembo. ila taabu kama unakula mama mwenye nyumba ujue mshahara
ndio utakuwa unausikia tu au utapata kiduchu sana. bora wale wanaomega
mabinti wa mwajiri wao.

halafu ukiwaona jamaa wanavyojikausha! utafikiri mabwege flani hivi kumbe wanajimegea kwa taratibu tu.

kama upo siriasi sana basi ongea na hao jamaa watakupa mbinu tu.
 
jamaa wanaofanya kazi za ndani kwa wahindi wanawamega sana
hao warembo
. ila taabu kama unakula mama mwenye nyumba ujue mshahara
ndio utakuwa unausikia tu au utapata kiduchu sana. bora wale wanaomega
mabinti wa mwajiri wao.

halafu ukiwaona jamaa wanavyojikausha! utafikiri mabwege flani hivi kumbe wanajimegea kwa taratibu tu.

kama upo siriasi sana basi ongea na hao jamaa watakupa mbinu tu.

...kumbe ndio maana hawaaachi, ...utaikia "jumaaaaaaaaaaaaaaa, wewe nini bana....kila siku chelewa chelewa kazini,...haya peleka mama sokoni kisha osha ile sufuria jikoni, kirudi nikute ushaosha gari angu!,..." rigwaride lote wao wapo wapo tu miaka nenda rudi, na watoto wao wanawaunganishia ajira humo humo kwa wahindi ha ha haaa 😀
 
Nenda India kule ukifika tu utawasikia wakisema bana nakwisha fika.
 
...kumbe ndio maana hawaaachi, ...utaikia "jumaaaaaaaaaaaaaaa, wewe nini bana....kila siku chelewa chelewa kazini,...haya peleka mama sokoni kisha osha ile sufuria jikoni, kirudi nikute ushaosha gari angu!,..." rigwaride lote wao wapo wapo tu miaka nenda rudi, na watoto wao wanawaunganishia ajira humo humo kwa wahindi ha ha haaa 😀

lakini hawa jamaa kwa nini wanapenda sana jina la Juma?
 
...bana weeh, sijui...labda ndio rahisi kwao kulitamka 😀

Mbu..
Na Shabani je? ha ha


Mtafuta Mhindi!
Mabinti wa kihindi sura na nywele ni matata sema wamepigwa pasi takatifu makalio/flat skrini,kuhusu kupenda na mengineyo sijui ila wanapenda kuchukuana wenyewe kwa wenyewe.
Wakati nasoma SRSS kuna kijana mmoja alikuwa anamchukua binti wa kihindi, ilikuwa ni stori kila mahali kwa sababu ya mixture yao.

Kwahiyo kama una nia utapata tu binti wa kihindi ujivinjari nae!..
 
Mbu..
Na Shabani je? ha ha


Mtafuta Mhindi!
Mabinti wa kihindi sura na nywele ni matata sema wamepigwa pasi takatifu makalio/flat skrini,kuhusu kupenda na mengineyo sijui ila wanapenda kuchukuana wenyewe kwa wenyewe.

Duh!! makalio tena?? Ila kuna ambao wajihi wao unamvuto kama wa kibantu. Wewe nenda Chennai au Kerala utapata wapo wa kumwaga na wanye wajihi wa kibantu.

Na huko haitakuwa kazi kupata mademu ho wa kihindi
 
Back
Top Bottom