Jofrey godfrey
Member
- Jan 16, 2019
- 6
- 3
Amelezea kwa hisia zoteUmejieleza vizuri kwa utulivu..! I hope you mean it. Mungu atatia mkono wake
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaaa chizi kweli wewe hahahahahahahaKua na mwanamke aliezalishwa ni sawasawa na kununua shamba lenye mgogoro
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaaa chizi kweli wewe hahahahahahaha
Tafuta dogo mwenzio utapata tuu maana takwimu zinaonyesha kwamba madogo under 30 years hapa bongo ndo wengi (65%).Umri kikwazo...wakubwa wataendelea kufaidi
Umejieleza vizuri kwa utulivu..! I hope you mean it. Mungu atatia mkono wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Angepunguza hayo masharti wenye huruma zetu umri kikwazoTafuta dogo mwenzio utapata tuu maana takwimu zinaonyesha kwamba madogo under 30 years hapa bongo ndo wengi (65%).
Sent using Jamii Forums mobile app
ninHumu..humu jf kabisaa...¡¡¡
,,Nenda hata kwa viongozi wa dini yako ukaelezee shida yako..
,,,Achana na mitandao ..swala la ndoa ni nyeti mno
Sent using Jamii Forums mobile app