Nyoka mwenye makengeza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 870
- 776
mcheki shee ponda
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mkuu mm marafiki ninao wengi sana wananitosha we endelea kutafuta jf unaowataka
Sawa mama yaoWe mkuu mm marafiki ninao wengi sana wananitosha we endelea kutafuta jf unaowataka
Aya inayosema Usiikurubie Zinaa. Sasa huo urafiki wa mwanamke na mwanaume ni kuikaribia zinaa
Nimekuomba utupe aya na si porojoAya inayosema Usiikurubie Zinaa. Sasa huo urafiki wa mwanamke na mwanaume ni kuikaribia zinaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee!!Doh safi sana, sasa wataka ndoa kabisa ama!???
Kama kunjunjana tuu mbona safi tuu, nipo hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Quran haijakataza urafiki imekataza zinaa.Aya inayosema Usiikurubie Zinaa. Sasa huo urafiki wa mwanamke na mwanaume ni kuikaribia zinaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa rafiki na mwanamke siyo kukaribisha zinaa! Achana na ujinga wa wakina muddy na allan! [emoji23]Aya inayosema Usiikurubie Zinaa. Sasa huo urafiki wa mwanamke na mwanaume ni kuikaribia zinaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani muddy alikuwa na marafiki wangapi wa kike? Vile vibikira vilikuwa rafiki zake au?
Kwahiyo urafiki wa majihadist kuuwa wanaume ili wachape wake zao ilikuwa kuikimbia zinaa?Aya inayosema Usiikurubie Zinaa. Sasa huo urafiki wa mwanamke na mwanaume ni kuikaribia zinaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kule mbinguni kwenye bikira mtaikimbia zinaa au mtazini?Aya inayosema Usiikurubie Zinaa. Sasa huo urafiki wa mwanamke na mwanaume ni kuikaribia zinaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wapi nimetaja zinaa hapo, halafu zinaaa ni kitu gani!?? KwanzaAsee!!
Si Ameshasema ataki zinaa mkuu .
Wewe dada Ungeondoa kigezo cha miaka 30+....nahisi ungefanikiwa kupata mtu sababu wengi tunaotaka kuoa tuko katika 20s..
Mimi mkristo nitakuoa na kulea watoto wako watasoma shule nzuri. Pesa ninayo yakusomesha watoto wako nje ya nchi, Lakini badilisha dini uwe mkristo.Mimi ni mama wa miaka 33 na nimejaaliwa watoto wawili, niliolewa bahati mbaya ndoa imevunjika kwasababu zilizo nje ya uwezo wetu.
Sasa nipo nalea wanangu na alhamdulillah najimudu kiasi financially. Ila kama ijulikanavyo huwezi shindana na nature, nikiwa kama mwanamke kuna wakati unamuhitaji mwanaume na siwezi fanya hivyo kwani uzinzi ni dhambi na namuomba Mungu aendelee kuniepusha na hilo.
Hivyo kwa Uzi huu nahitaji marafiki Wa kiume (naprefer kuanzia kwenye urafiki ili kuona compatibility) haswa aliyefiwa na mkewe, au divorced ambaye yeye si sababu ya uvunjifu Wa ndoa yake, au mwenye mtoto/watoto tayari, au yeyote ambaye ni father figure. Umri kuanzia 33 - 45 yrs.
Note: naprefer a responsible family man. If u think u hv the credentials pls pm me, jokes aside pls.
Soma vizuri bandiko lake amesema anatafuta rafiki mwanaume mtu mzima na si vivulana vinavyowaponda single mothers, case study Mzee Malecela na Anne Kilango na Msekwa na Anna Abdalla, every woman need a MenHehehehe watu wanatoa namba tu...nakushauri upitie nyuzi zinazohusu wadada wenye watoto humu kabla hujaanza kuingia huo urafiki na wababa wa humu
Mimi nahisi wewe umeachwa sababu unakaushangingi. Inawezekana mume kakimbia sababu huridhiki na mapigo yake. Tuambie ukweli tujue kama wewe ni sex addict, maana mko wengi sikuizi na hamtoshekwi. Chukua mkristo hatokwenda kuowa mijanamke mingi ambayo waislamu wanashindwa kuwatosheleza na vibamia vyao.Mimi ni mama wa miaka 33 na nimejaaliwa watoto wawili, niliolewa bahati mbaya ndoa imevunjika kwasababu zilizo nje ya uwezo wetu.
Sasa nipo nalea wanangu na alhamdulillah najimudu kiasi financially. Ila kama ijulikanavyo huwezi shindana na nature, nikiwa kama mwanamke kuna wakati unamuhitaji mwanaume na siwezi fanya hivyo kwani uzinzi ni dhambi na namuomba Mungu aendelee kuniepusha na hilo.
Hivyo kwa Uzi huu nahitaji marafiki Wa kiume (naprefer kuanzia kwenye urafiki ili kuona compatibility) haswa aliyefiwa na mkewe, au divorced ambaye yeye si sababu ya uvunjifu Wa ndoa yake, au mwenye mtoto/watoto tayari, au yeyote ambaye ni father figure. Umri kuanzia 33 - 45 yrs.
Note: naprefer a responsible family man. If u think u hv the credentials pls pm me, jokes aside pls.