Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

Habari wana jamvi Mimi ni kijana wa kitanzania ningependa kuchukua fursa hii kutafuta rafiki wa kike akiwa Dodoma itapendeza zaidi umri kuanzia 20 hadi 30 .....anipm namba take akiwa tayari
 
Mtume Paulo ni Muhuni kuliko kiukbe yeyote duniani...

Sent using Jamii Forums mobile app
Muhammad amezidi kwa uhuni: Kuoa vijukuu vyake, kuua wanaume ili kuoa wake zao, kudanganya watu eti kunywa mkojo wa ngamia ni dawa wakati uchafu, kufanya watu weusi watumwa, kudanganya eti Quran imeshushwa na eti Allah mungu wakati ni mungu wa wapagani wa arabia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muhammad amezidi kwa uhuni: Kuoa vijukuu vyake, kuua wanaume ili kuoa wake zao, kudanganya watu eti kunywa mkojo wa ngamia ni dawa wakati uchafu, kufanya watu weusi watumwa, kudanganya eti Quran imeshushwa na eti Allah mungu wakati ni mungu wa wapagani wa arabia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya lete ushahidi sasa haya yooote uliyoyasema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mama wa miaka 33 na nimejaaliwa watoto wawili, niliolewa bahati mbaya ndoa imevunjika kwasababu zilizo nje ya uwezo wetu.

Sasa nipo nalea wanangu na alhamdulillah najimudu kiasi financially. Ila kama ijulikanavyo huwezi shindana na nature, nikiwa kama mwanamke kuna wakati unamuhitaji mwanaume na siwezi fanya hivyo kwani uzinzi ni dhambi na namuomba Mungu aendelee kuniepusha na hilo.

Hivyo kwa Uzi huu nahitaji marafiki Wa kiume (naprefer kuanzia kwenye urafiki ili kuona compatibility) haswa aliyefiwa na mkewe, au divorced ambaye yeye si sababu ya uvunjifu Wa ndoa yake, au mwenye mtoto/watoto tayari, au yeyote ambaye ni father figure. Umri kuanzia 33 - 45 yrs.

Note: naprefer a responsible family man. If u think u hv the credentials pls pm me, jokes aside pls.
Nimebadili dini nimekuwa muislamu kuanzia jana. Sasa nipatie contact alafu tufunge ndoa ya mkeka, nikikushughulikia nakupa taraka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msema kweli mpenzi wa Mungu, "afichaye uchi hazai", "kizuri chajitembeza, kibaya chajiuza"...
Usingejali dini tu ungenipata...
 
Back
Top Bottom