immasakha
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 489
- 281
Huyu dada na yeye hataki mwanaume mm nilijitokeza mpk leo hajanifata porojo zimekua nyingi nae
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete ushahidi wa kimaandiko na wewe kwamba kuna mru aliitwa MUDDY.
Lete ushahidi wa kimaandiko na wewe kwamba kuna mru aliitwa MUDDY.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhammad amezidi kwa uhuni: Kuoa vijukuu vyake, kuua wanaume ili kuoa wake zao, kudanganya watu eti kunywa mkojo wa ngamia ni dawa wakati uchafu, kufanya watu weusi watumwa, kudanganya eti Quran imeshushwa na eti Allah mungu wakati ni mungu wa wapagani wa arabia.
Haya lete ushahidi sasa haya yooote uliyoyasemaMuhammad amezidi kwa uhuni: Kuoa vijukuu vyake, kuua wanaume ili kuoa wake zao, kudanganya watu eti kunywa mkojo wa ngamia ni dawa wakati uchafu, kufanya watu weusi watumwa, kudanganya eti Quran imeshushwa na eti Allah mungu wakati ni mungu wa wapagani wa arabia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamedi simjui. Namjua mtu humu JF jina lake linafanana na uchi wa mwanaume !Hahaha! Humjui Muddy wewe? Kwani Mwamedi na Muhammad inatofauti gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
MuhaMwamedi simjui. Namjua mtu humu JF jina lake linafanana na uchi wa mwanaume !
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli vichaa wengi wengine walituletea dini zisizo na kichwa wala miguu. Je Muddy alikuwa timamu?
Vipi huyo demu muislamu anayetafuta mabwana kashapata? Naona anashindwa kuvumilia tango maana tamu mno kwake!
Nimebadili dini nimekuwa muislamu kuanzia jana. Sasa nipatie contact alafu tufunge ndoa ya mkeka, nikikushughulikia nakupa taraka.Mimi ni mama wa miaka 33 na nimejaaliwa watoto wawili, niliolewa bahati mbaya ndoa imevunjika kwasababu zilizo nje ya uwezo wetu.
Sasa nipo nalea wanangu na alhamdulillah najimudu kiasi financially. Ila kama ijulikanavyo huwezi shindana na nature, nikiwa kama mwanamke kuna wakati unamuhitaji mwanaume na siwezi fanya hivyo kwani uzinzi ni dhambi na namuomba Mungu aendelee kuniepusha na hilo.
Hivyo kwa Uzi huu nahitaji marafiki Wa kiume (naprefer kuanzia kwenye urafiki ili kuona compatibility) haswa aliyefiwa na mkewe, au divorced ambaye yeye si sababu ya uvunjifu Wa ndoa yake, au mwenye mtoto/watoto tayari, au yeyote ambaye ni father figure. Umri kuanzia 33 - 45 yrs.
Note: naprefer a responsible family man. If u think u hv the credentials pls pm me, jokes aside pls.