Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

Habari wanajamvi poleni na uchovu,,mimi ni kijana 26 yrs,ni mfanyakazi serikalini muda wa kazi jumatatu mpaka ijumaa nakuwa busy ila sio saana,nahitaji marafiki wa kushahuliana mambo mazuri na hata ushauri wa maisha,pia nahitaji saana marafiki wakweli na wahaminifu.so nahitaji watu ambao wkend wapo off ili tupate muda mwingi wa kupiga story,kutembeleana,kwenda fukwe Za bahari na ku enjoy effectively,Mimi nina usafiri so kwa marafiki wanaokaa DSM itapendeZa saana.Mimi ninaishi Mbezi Africana, kwa mawasiliano njoo PM au 0622109759.
 
Maswali
1. Toa tafsiri ya rafiki wa kawaida na asiye wa kawaida
2. Unafanya kazi gani, maana hapo ndio mtaanzia urafiki, kama ni mhasibu, mhudumu, au asiyejulikana anataka kujua wanaJF wasiojulikana.
3. Unapendelea vitu gani, maana hii ni muhimu katika kuanzisha urafiki.
4. Vitu gani usivyopenda, asije mtu akafanya kwako na urafiki ukaishia hapo.
5. Kwa mshahara wa Serikali ya JPM je unaweza kulipa gharama zote za out maana wanaweza jitokeza kuwa rafiki na hawana uwezo wa kujilipia wakiwa outing.
 
Habari wanajamvi poleni na uchovu,,mimi ni kijana 26 yrs,ni mfanyakazi serikalini muda wa kazi jumatatu mpaka ijumaa nakuwa busy ila sio saana,nahitaji marafiki wa kushahuliana mambo mazuri na hata ushauri wa maisha,pia nahitaji saana marafiki wakweli na wahaminifu.so nahitaji watu ambao wkend wapo off ili tupate muda mwingi wa kupiga story,kutembeleana,kwenda fukwe Za bahari na ku enjoy effectively,Mimi nina usafiri so kwa marafiki wanaokaa DSM itapendeZa saana.Mimi ninaishi Mbezi Africana, kwa mawasiliano njoo PM au 0622109759.
Jinsia yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maswali
1. Toa tafsiri ya rafiki wa kawaida na asiye wa kawaida
2. Unafanya kazi gani, maana hapo ndio mtaanzia urafiki, kama ni mhasibu, mhudumu, au asiyejulikana anataka kujua wanaJF wasiojulikana.
3. Unapendelea vitu gani, maana hii ni muhimu katika kuanzisha urafiki.
4. Vitu gani usivyopenda, asije mtu akafanya kwako na urafiki ukaishia hapo.
5. Kwa mshahara wa Serikali ya JPM je unaweza kulipa gharama zote za out maana wanaweza jitokeza kuwa rafiki na hawana uwezo wa kujilipia wakiwa outing.
nimesema rafiki wa kawaida kuepusha maswali kama yako ya wana Jf,hapo wangeanza kusema natafuta mwanamke,nooo sihitaji mwanamke tena ikiwezekana hao marafiki wawe wakiume tu kama mm,kazi yangu bro huitaji kuijua kihiiiivyo saaana,napenda saana kupiga story kubadilishana Idea,sijazungumza kumtoa mtu out bro umeni quote vibaya,ila hvyo vitu vya kutoana out ni vya kawaida saana ndugu yangu
 
Habari wanajamvi poleni na uchovu,,mimi ni kijana 26 yrs,ni mfanyakazi serikalini muda wa kazi jumatatu mpaka ijumaa nakuwa busy ila sio saana,nahitaji marafiki wa kushahuliana mambo mazuri na hata ushauri wa maisha,pia nahitaji saana marafiki wakweli na wahaminifu.so nahitaji watu ambao wkend wapo off ili tupate muda mwingi wa kupiga story,kutembeleana,kwenda fukwe Za bahari na ku enjoy effectively,Mimi nina usafiri so kwa marafiki wanaokaa DSM itapendeZa saana.Mimi ninaishi Mbezi Africana, kwa mawasiliano njoo PM au 0622109759.
Wewe ni muhaya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habari za sahizi,niende kwenye mada husika,mimi kijana 22yrs natafta rafiki wa kike wa kubadilishananae mawazo ya kimaisha.
 
hapo mtaani kwenu hakuna wa kubadilishana naye Hayo mawazo? Be careful pambana na hali yako dogo
 
hapo mtaani kwenu hakuna wa kubadilishana naye Hayo mawazo? Be careful pambana na hali yako dogo
haha wapo ila nimeona niongezee na wa if.kuwa careful nko njema sana ,kuhusu kupambania Hali yangu kitambo sana.kuhusu kuniita dogo hujajua umri wangu bado
 
tatizo vijana wengi wa kiume wanakatwa govi hsptl na sindano ya ganzi......
 
Back
Top Bottom