Darlingone
New Member
- Feb 6, 2019
- 3
- 26
Mods naomba muondoe hii thread pls
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha! Eti ndoa ilivunjika au mliivunja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ni mama wa miaka 33 na nimejaaliwa watoto wawili, niliolewa bahati mbaya ndoa imevunjika kwasababu zilizo nje ya uwezo wetu.
Sasa nipo nalea wanangu na alhamdulillah najimudu kiasi financially. Ila kama ijulikanavyo huwezi shindana na nature, nikiwa kama mwanamke kuna wakati unamuhitaji mwanaume na siwezi fanya hivyo kwani uzinzi ni dhambi na namuomba Mungu aendelee kuniepusha na hilo.
Hivyo kwa Uzi huu nahitaji marafiki Wa kiume (naprefer kuanzia kwenye urafiki ili kuona compatibility) haswa aliyefiwa na mkewe, au divorced ambaye yeye si sababu ya uvunjifu Wa ndoa yake, au mwenye mtoto/watoto tayari, au yeyote ambaye ni father figure. Umri kuanzia 33 - 45 yrs.
Note: naprefer a responsible family man. If u think u hv the credentials pls pm me, jokes aside pls.
Asiye mkristo, mlevi, mchafu na mvivu atabadilishwa na nani kitabia ikiwa wewe unayejitambua vizuri umeshambagua?Habari za mida wakuu natumaini muwazima wa afya, husika na kichwa cha Habari hapo juu. Natafuta rafiki wa kike umri 25-29,awe mkristo asiwe mlevi, awe msafi mpenda kazi anae amini katika kijiajiri sio kuajiriwa. Ambaye yuko tayari aje PM. Asanteni.
Mimi ni mama wa miaka 33 na nimejaaliwa watoto wawili, niliolewa bahati mbaya ndoa imevunjika kwasababu zilizo nje ya uwezo wetu.
Sasa nipo nalea wanangu na alhamdulillah najimudu kiasi financially. Ila kama ijulikanavyo huwezi shindana na nature, nikiwa kama mwanamke kuna wakati unamuhitaji mwanaume na siwezi fanya hivyo kwani uzinzi ni dhambi na namuomba Mungu aendelee kuniepusha na hilo.
Hivyo kwa Uzi huu nahitaji marafiki Wa kiume (naprefer kuanzia kwenye urafiki ili kuona compatibility) haswa aliyefiwa na mkewe, au divorced ambaye yeye si sababu ya uvunjifu Wa ndoa yake, au mwenye mtoto/watoto tayari, au yeyote ambaye ni father figure. Umri kuanzia 33 - 45 yrs.
Note: naprefer a responsible family man. If u think u hv the credentials pls pm me, jokes aside pls.
Kwann mkuuMsomi angalau kidato cha sita[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa nd watu wengi wanapata chaguzi mbovu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok,uislamu ni kusaidiana,nami pia ni mtafutaji nahitaji mwanamke mwenye umri wa kuanzia 25 hadi 30,ila asiwe na mtoto,akiwa na kakishughuli kidogo cha kumuingizia riziki ni bora zaidi,cha mwisho awe ni mwenye kujielewa na utayari wa ndoa,Msaada wako tafadhaliWengi weny sifa hizo ni waume za watu,wana wake na watoto, kama utakubali kupokea ndugu katika iiman wa hivyo ambae ana upeo mzuri wa nasaha, ushauri, na hekma tele basi nikuunganishe nae ila yeye yuko nje ya tz nadhani atafaa zaidi na fitna itakuwa chache sana baina yenu.maelezo yako yamenigusa.
Tunaweza tukazuga zuga wakati unaendelea kumtafuta. Vigezo vyote ulivyotaja ninavyo ila tu mie sio muoaji.Mods naomba muondoe hii thread pls