Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

Mimi ni mama wa miaka 33 na nimejaaliwa watoto wawili, niliolewa bahati mbaya ndoa imevunjika kwasababu zilizo nje ya uwezo wetu.

Sasa nipo nalea wanangu na alhamdulillah najimudu kiasi financially. Ila kama ijulikanavyo huwezi shindana na nature, nikiwa kama mwanamke kuna wakati unamuhitaji mwanaume na siwezi fanya hivyo kwani uzinzi ni dhambi na namuomba Mungu aendelee kuniepusha na hilo.

Hivyo kwa Uzi huu nahitaji marafiki Wa kiume (naprefer kuanzia kwenye urafiki ili kuona compatibility) haswa aliyefiwa na mkewe, au divorced ambaye yeye si sababu ya uvunjifu Wa ndoa yake, au mwenye mtoto/watoto tayari, au yeyote ambaye ni father figure. Umri kuanzia 33 - 45 yrs.

Note: naprefer a responsible family man. If u think u hv the credentials pls pm me, jokes aside pls.
Hahaha! Eti ndoa ilivunjika au mliivunja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za mida wakuu natumaini muwazima wa afya, husika na kichwa cha Habari hapo juu. Natafuta rafiki wa kike umri 25-29,awe mkristo asiwe mlevi, awe msafi mpenda kazi anae amini katika kijiajiri sio kuajiriwa. Ambaye yuko tayari aje PM. Asanteni.
 
Habari za mida wakuu natumaini muwazima wa afya, husika na kichwa cha Habari hapo juu. Natafuta rafiki wa kike umri 25-29,awe mkristo asiwe mlevi, awe msafi mpenda kazi anae amini katika kijiajiri sio kuajiriwa. Ambaye yuko tayari aje PM. Asanteni.
Asiye mkristo, mlevi, mchafu na mvivu atabadilishwa na nani kitabia ikiwa wewe unayejitambua vizuri umeshambagua?

"Time is wealthy when it's timed consecutively"



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko mtaani hamuishi na watu hadi humu mtapata mazombi kuweni makini.
 
Awe below 29yrs Old,
awe mcheshi, msomi angalau kidato cha sita!
anayejitambua na kujiamini!
Mkristo mwenye hofu ya MUNGU.
 
Mimi ni mama wa miaka 33 na nimejaaliwa watoto wawili, niliolewa bahati mbaya ndoa imevunjika kwasababu zilizo nje ya uwezo wetu.

Sasa nipo nalea wanangu na alhamdulillah najimudu kiasi financially. Ila kama ijulikanavyo huwezi shindana na nature, nikiwa kama mwanamke kuna wakati unamuhitaji mwanaume na siwezi fanya hivyo kwani uzinzi ni dhambi na namuomba Mungu aendelee kuniepusha na hilo.

Hivyo kwa Uzi huu nahitaji marafiki Wa kiume (naprefer kuanzia kwenye urafiki ili kuona compatibility) haswa aliyefiwa na mkewe, au divorced ambaye yeye si sababu ya uvunjifu Wa ndoa yake, au mwenye mtoto/watoto tayari, au yeyote ambaye ni father figure. Umri kuanzia 33 - 45 yrs.

Note: naprefer a responsible family man. If u think u hv the credentials pls pm me, jokes aside pls.
 
Sawa bi idhini llah utaniambia wapi tuonane insha Allah M/mungu anaweza Leta wepesi
 
Wengi weny sifa hizo ni waume za watu,wana wake na watoto, kama utakubali kupokea ndugu katika iiman wa hivyo ambae ana upeo mzuri wa nasaha, ushauri, na hekma tele basi nikuunganishe nae ila yeye yuko nje ya tz nadhani atafaa zaidi na fitna itakuwa chache sana baina yenu.maelezo yako yamenigusa.
Ok,uislamu ni kusaidiana,nami pia ni mtafutaji nahitaji mwanamke mwenye umri wa kuanzia 25 hadi 30,ila asiwe na mtoto,akiwa na kakishughuli kidogo cha kumuingizia riziki ni bora zaidi,cha mwisho awe ni mwenye kujielewa na utayari wa ndoa,Msaada wako tafadhali
 
hellow humu ndani mm mgeni ila sitafuti mpenzi natafuta marafki, nasikia wanasema new id matatizo cjui ndo inamaana gan mm mgen plz ufafanuzi
 
Sasa we awe muislam utakua unatafuta muhumini mwenzio na sio rafiki utaachika tena badili upande


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom