Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

Habari Natafuta rafiki wakike ambaye anajitambua,baadaye ajekua mke wanguu baada ya kufahamiana,umri wangu ni miaka 32,elimu yangu bachelor degree,ni mfanyakazi,nipo dar,mkristu,mwenyeji wa Tabora,
Sifa za mwanamke nimtakaye,awe na elimu kuanzia masters na kuendelea,awe tyr kupima HIV,awe tyr kuishi mahari popote,,Sina vigezo vingi.Kwa mawasiliano zaidi 0689425236 au pm.
Kwa nini unataka mwenye Masters Degree ili hali wewe una Bachelor Degree?
 
Habari Natafuta rafiki wakike ambaye anajitambua,baadaye ajekua mke wanguu baada ya kufahamiana,umri wangu ni miaka 32,elimu yangu bachelor degree,ni mfanyakazi,nipo dar,mkristu,mwenyeji wa Tabora,
Sifa za mwanamke nimtakaye,awe na elimu kuanzia masters na kuendelea,awe tyr kupima HIV,awe tyr kuishi mahari popote,,Sina vigezo vingi.Kwa mawasiliano zaidi 0689425236 au pm.
Diploma tukae pembeni sio..😁
 
Masters holder.

Hatari. Hata mm nimependa hiki kigezo. Masters ndio level yangu mm
 
Bogasi kweli wewe! uandishi wako tu unaonesha kabisa ni form 3 au 4.
 
A
Habari Natafuta rafiki wakike ambaye anajitambua,baadaye ajekua mke wanguu baada ya kufahamiana,umri wangu ni miaka 32,elimu yangu bachelor degree,ni mfanyakazi,nipo dar,mkristu,mwenyeji wa Tabora,
Sifa za mwanamke nimtakaye,awe na elimu kuanzia masters na kuendelea,awe tyr kupima HIV,awe tyr kuishi mahari popote,,Sina vigezo vingi.Kwa mawasiliano zaidi 0689425236 au pm.
Kama yupo aje pm tuyajenge au anitafute kwa namba,muda ni mali✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️ kwani nipo serious na nsjitsmbua
 
Back
Top Bottom