afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,716
mi nataka ambaye hajafika hata la 7
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha nipambane niende hili nikamilike sura ya baba.Write your reply...mkuu masters wengi utakuta umri umeenda sana either hakosi katoto hata kamoja
wengi wanakuwa na sura za baba zao, mademu wazuri wengi wanaishia bachelor halafu demu zenye chura nyingi zinakuwa na diploma au nyingine mission Town full kudanga
Ha ha ha nipambane niende hili nikamilike sura ya baba.
Ha ha ha na huyu magu nikasome ntapata pressure bure..wakufunzi wenyewe wamevurugwa wale weeh.ni wewe tu mkuu tena utaepuka vingi kama kuchapiwa na magonjwa ya moyo
Nenda pm kama unavigezo, maswali mengi ya nini?Mzee inamana huko kazini, mtaani, kanisani, msikitini, sokoni na kwengineko umekosa kabisa wa kumuoa na je wa uku mitandaoni utawaweza kweli
Kabisaa 😂 😂Mleta mada atakuwa ana bachelor ya mafuta ya koroshow!
Hakusomea michepuo ya Sanaa!!
Ahsante kwa kuweka picha, ili utambulisho wako ukamilike, weka.Wakuu mm huku n mgeni ..nimekua visitor kwa mda ila nimeingia rasmi sasa....natafuta rafiki wa kike mwenye 20_28 umri...sichagui dini wala kabila ...
#ahsanteJFView attachment 1153551
Afanye hivyo harakaAhsante kwa kuweka picha, ili utambulisho wako ukamilike, weka.
-Jina lako halisi
- Namba ya simu
-Umri wako
-Sehemu unapoishi
Hapo msichana atakupata kwa haraka
Sawa sawa Senior Administrator OfficerAfanye hivyo haraka
Details za muhimu kama hizo anaachaje kuziweka !
Pamoja head of departmentSawa sawa Senior Administrator Officer
Nje ya uwanja.Pamoja head of department
Tuko pamoja katika kujenga jumuia hii
Nijibu basi nimeuliza swali hapo juu