Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Mhonge kwa hela za madini ataelewa tuuuu!!
ππππ..Umri wa kuhonga mie bado mkuu...lol!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhonge kwa hela za madini ataelewa tuuuu!!
unamuvimbisha kichwa mwambie aache uvulana atafute pesaa
Kweli huwezi jua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui na Mimi ipo siku nitapata bahati kama ya Yusuf
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndio ndio hadi awe Drunk in LoveUnataka uka Mu Adorn na Love yako [emoji23][emoji23][emoji23]
Hmm[emoji41]
Ahsante kwa kuweka picha, ili utambulisho wako ukamilike, weka.
-Jina lako halisi
- Namba ya simu
-Umri wako
-Sehemu unapoishi
Hapo msichana atakupata kwa haraka
Contact 0685346842Ahsante kwa kuweka picha, ili utambulisho wako ukamilike, weka.
-Jina lako halisi
- Namba ya simu
-Umri wako
-Sehemu unapoishi
Hapo msichana atakupata kwa haraka
Haha kawaidaNimeipenda picha yako jamani...dah..una vibes km zotteee
Mkuu pesa haijawah mtosha mtuunamuvimbisha kichwa mwambie aache uvulana atafute pesaa
Tunakusubiri wewe mkuuHahahhahah kweli kaweka tarifa zote muhimu
Hahaha ..niongeze mpaka ngap
Mm nko na miaka 25
..naishi Bunju dar
..Jina Yusuf Johnson
Tunakusubiri wewe mkuu
Ili na wewe tukutaftie rafiki wa kike
Asante kwa ushirikiano !
π π π π π π πDogo unavaaje shades ndani?