Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo kwenye kukosoa tunajua sana Hahaha...swal lako halina jibuDogo unavaaje shades ndani?
Jirani kabisaAaaawww..
mie niko Basihaya rafiki...nna miaka kati ya 18-43[emoji4][emoji4][emoji4]
Haha tunaeza enda afu mm n jiran kabisa na mlima ukiamka asubuh unauonà kwa mbalii ...Achia pm yako mzee baba yusuph..naamini kbs hapo ni kivulini...wengine tunapaonaga Kilimanjaro mt kwa picha tu..naamini ukiwa rafiki yangu dec tunaweza kwenda[emoji4][emoji4][emoji4]
Sawa rafik you're welcomeWalao 40 jamani ili na sie wenye damu za kunguni tuwemo...i wish tht
Haha tunaeza enda afu mm n jiran kabisa na mlima ukiamka asubuh unauonà kwa mbalii ...
Swala la makazi yake ni muhimu tulisahau kumweleza !Hongera kwa kazi nzuri Senior Administrator Officer.
Hakika kazi unaimudu ipasavyo...
Hahaaa, unamuuza mgeni mkuu [emoji3] [emoji3]Ahsante kwa kuweka picha, ili utambulisho wako ukamilike, weka.
-Jina lako halisi
- Namba ya simu
-Umri wako
-Sehemu unapoishi
Hapo msichana atakupata kwa haraka
Nadhani unamfaaHahaaa, unamuuza mgeni mkuu [emoji3] [emoji3]
Wabongo kwenye kukosoa tunajua sana Hahaha...swal lako halina jibu
Kweli mkuu, nilifanyie kazi fastaSwala la makazi yake ni muhimu tulisahau kumweleza !
Anapokaa
Hatumuuzi bana bali tunamsaidia shida yake tukiwa na nyaraka zote muhimuHahaaa, unamuuza mgeni mkuu [emoji3] [emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha
Nmecheka kifala [emoji28]
Umeongea la maana sanaunamuvimbisha kichwa mwambie aache uvulana atafute pesaa
Hahaa, atoe na bank details mpaka password labda ndyo ntakubali kuwa rafikiye[emoji3] [emoji3] [emoji3]Nadhani unamfaa
Kuwa rafiki yake wa kike
Tunaomba ushirikiano wako
Usisahau kutuwekea details zako
[emoji28]
Hayo ya pm sasa [emoji28][emoji28]Hahaa, atoe na bank details mpaka password labda ndyo ntakubali kuwa rafikiye[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sijapenda maviatu yako, miwani kama fundi welding, shati la kishamba...