Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

Dah mm bado mwaka mmoja [emoji1436]‍♂️[emoji1436]‍♂️[emoji1436]‍♂️[emoji1436]‍♂️[emoji1436]‍♂️[emoji1436]‍♂️
 
Ninakidhi vigezo vyote, kasoro kimoja tu cha kua divorced au kufiwa na mke. Mke wangu bado niko nae, labda nikuoe mke mathna.
 
Wengi weny sifa hizo ni waume za watu,wana wake na watoto, kama utakubali kupokea ndugu katika iiman wa hivyo ambae ana upeo mzuri wa nasaha, ushauri, na hekma tele basi nikuunganishe nae ila yeye yuko nje ya tz nadhani atafaa zaidi na fitna itakuwa chache sana baina yenu.maelezo yako yamenigusa.
 
Kama kichwa kinavyosema apo juu, mimi natafta lafiki wa kike Kati miaka ya 18 had I 25 kama kuna mdada you ndani ya jf angependa tujuane itapendeza zaid mimi ni mkaka mwenye umri wa 24 yr old mengine tutajuana juu kwa juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom