Hahaa, atoe na bank details mpaka password labda ndyo ntakubali kuwa rafikiye[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Basi mwororo, very soon ntakua huko[emoji2] ,naona umechukua ile picha Kali kuliko zote ulizowahi kupost FB, nimekuelewa mnooHaha vyote vipo ...
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hatari sanaKujiunga Leo tu, nakutafuta mchumba any way, mtafutaji hachoki..View attachment 1158332
Kujiunga Leo tu, nakutafuta mchumba any way, mtafutaji hachoki..View attachment 1158332
duh, uyo ni kizee, sio 'wa kike'30 hadi 35 anipm
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 33. natafuta rafiki wa kiume wa umri wa kuanzia miaka 33 na kuendelea tukiridhiana twaweza kuwa wapenzi au kuweza kupata mtoto/watoto pamoja.
Asiwe na familia nikimaanisha mke, awe mcha Mungu, mchapakazi na awe na shughuli halali ya kumuingizia kipato. aliye tayari basi tuwasiliane
[/QU
good luck
Wewe una kazi gani?Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 33. natafuta rafiki wa kiume wa umri wa kuanzia miaka 33 na kuendelea tukiridhiana twaweza kuwa wapenzi au kuweza kupata mtoto/watoto pamoja.
Asiwe na familia nikimaanisha mke, awe mcha Mungu, mchapakazi na awe na shughuli halali ya kumuingizia kipato. aliye tayari basi tuwasiliane