Natafuta rafiki wa kike

Haya sasa sisi wa mtaani tumekosa toto!! No novel,kuogelea ndo kabisa,hiyo mi fiction ndo Nini..?, travel mwisho chalinze! lbd wenye vibamia tu hiyo ndo sifa nilonayo😉😉
Unamaanisha nini umekosa toto? Huyu ni ME mwenzako, anataka marafiki wa kiume tu, Akili nailazimisha kuamini kw sababu tu za kubadirisha ujizi, ushauri na kula bata. Kama ni vinginevyo sujui
 
Unamaanisha nini umekosa toto? Huyu ni ME mwenzako, anataka marafiki wa kiume tu, Akili nailazimisha kuamini kw sababu tu za kubadirisha ujizi, ushauri na kula bata. Kama ni vinginevyo sujui
Wewe umekuja sahivi alikuwa hajasema Kama ni me ningejuaje ekt kaupdate uzi wake tena
 
No problem mkuu just level uliyofikia kwangu itakuwa na thamani na umuhimu sana.
Fanya tukutane PM[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]
 
Hii ni aina flani ya Ushetani niamini mimi + YOGA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…