Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavojieleza.

SIFA

1. Umri kati ya 30 - 38 only
2. Awe amefika chuo kikuu au college
3. Asiwe mtu mwongo, asiwe mtu serious sana (easy taker)
4. Awe gentle na mcheshi
5. Asiwe ameajiriwa namaanisha awe mtafutaji wa hapa na pale, zaidi awe mkulima mzoefu
6. Awe mrefu kiasi, mweusi mwenye kujua kumuenzi mwanamke ila asiwe mtu wa ngono sana. Awe mvumilivu na msikilizaji zaidi.
7. Awe na mtoto mmoja au wawili tu; asiwe ameoa ila awe ni mtu anayehudumia familia yake (ya mama na watoto wake mwenyewe)
8. Awe msafi wa nguo, mwili na mwenye kujipenda.
9. Asiwe mnywaji wa pombe.
10. ASIWE MHAYA au MZAWA WA MOROGORO, TANGA (mtanisamehe).

Mwisho kabisa awe mtu mwenye juhudi na maono makubwa na mwenye kusimamia maamuzi yake.

ASANTENI WANA JF.
Kaka zako hizo sifa wanazo..??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavojieleza.

SIFA

1. Umri kati ya 30 - 38 only
2. Awe amefika chuo kikuu au college
3. Asiwe mtu mwongo, asiwe mtu serious sana (easy taker)
4. Awe gentle na mcheshi
5. Asiwe ameajiriwa namaanisha awe mtafutaji wa hapa na pale, zaidi awe mkulima mzoefu
6. Awe mrefu kiasi, mweusi mwenye kujua kumuenzi mwanamke ila asiwe mtu wa ngono sana. Awe mvumilivu na msikilizaji zaidi.
7. Awe na mtoto mmoja au wawili tu; asiwe ameoa ila awe ni mtu anayehudumia familia yake (ya mama na watoto wake mwenyewe)
8. Awe msafi wa nguo, mwili na mwenye kujipenda.
9. Asiwe mnywaji wa pombe.
10. ASIWE MHAYA au MZAWA WA MOROGORO, TANGA (mtanisamehe).

Mwisho kabisa awe mtu mwenye juhudi na maono makubwa na mwenye kusimamia maamuzi yake.

ASANTENI WANA JF.

Vijana ndo muda wenu wa kujimwambafai hapo, bibie kafunguka inaoneka yeye ni white dingo matha, kama ningekuwa na uwezo wa kureverse umri
 
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavojieleza.

SIFA

1. Umri kati ya 30 - 38 only
2. Awe amefika chuo kikuu au college
3. Asiwe mtu mwongo, asiwe mtu serious sana (easy taker)
4. Awe gentle na mcheshi
5. Asiwe ameajiriwa namaanisha awe mtafutaji wa hapa na pale, zaidi awe mkulima mzoefu
6. Awe mrefu kiasi, mweusi mwenye kujua kumuenzi mwanamke ila asiwe mtu wa ngono sana. Awe mvumilivu na msikilizaji zaidi.
7. Awe na mtoto mmoja au wawili tu; asiwe ameoa ila awe ni mtu anayehudumia familia yake (ya mama na watoto wake mwenyewe)
8. Awe msafi wa nguo, mwili na mwenye kujipenda.
9. Asiwe mnywaji wa pombe.
10. ASIWE MHAYA au MZAWA WA MOROGORO, TANGA (mtanisamehe).

Mwisho kabisa awe mtu mwenye juhudi na maono makubwa na mwenye kusimamia maamuzi yake.

ASANTENI WANA JF.
Unapatikana wapi Nije kwenye interview maana vigezo vyote ninayo

Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
 
wafukua makaburi
Na huyu bwanako kaishia wapi?


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah...namba 3 na 8 nimefeli... Dah ,[emoji41]

Sent using Beretta ARX 160
 
Kama upo free twende tukaogelee,live band or movie ,kanisani,as you wish katika hayo bagamoyo .
Uwe muhenga
Uwe na constructive ideas,kibiashara,kiuchumi kiafya,politics no
Uwe single but unaweza kuja na mpenzi wako
Mwisho wa maombi Ni saa kumi because with or without you I am going to bagamoyo
Wasifu wangu
Mnenee
Singleee
Muhengaaa

Malipo hela ninayo lakini tutajua cha kufanya sinywi pombe Wala nini sina gharama hata ,itakuwa Ni win win situation





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom