Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

135 cry,
Hizo sifa itabidi ujioe mwenyewe!!!! ninyi ndio akina abitoke mnaojiingiza kwa wapaka poda wanaoishi maisha yasio na uhalisia, maisha ya club saluni na kuvalishwa nguo na maduka ya nguo ili kutangaza, hana geto na kama analo hawezi kukupeleka. Unapotaka kuolewa ondoa masharti kubali kuanzia chini kama maisha au elimu muitafute pamoja kw kujenga tabia na uchumi wa pamoja.
 
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavojieleza.

SIFA

1. Umri kati ya 30 - 38 only
2. Awe amefika chuo kikuu au college
3. Asiwe mtu mwongo, asiwe mtu serious sana (easy taker)
4. Awe gentle na mcheshi
5. Asiwe ameajiriwa namaanisha awe mtafutaji wa hapa na pale, zaidi awe mkulima mzoefu
6. Awe mrefu kiasi, mweusi mwenye kujua kumuenzi mwanamke ila asiwe mtu wa ngono sana. Awe mvumilivu na msikilizaji zaidi.
7. Awe na mtoto mmoja au wawili tu; asiwe ameoa ila awe ni mtu anayehudumia familia yake (ya mama na watoto wake mwenyewe)
8. Awe msafi wa nguo, mwili na mwenye kujipenda.
9. Asiwe mnywaji wa pombe.
10. ASIWE MHAYA au MZAWA WA MOROGORO, TANGA (mtanisamehe).

Mwisho kabisa awe mtu mwenye juhudi na maono makubwa na mwenye kusimamia maamuzi yake.

ASANTENI WANA JF.
Acha na mm nikupe zangu

1 usizid miaka30
2 uwe na masters
3 uwe na kazi au biashara ya kukuingizia kipato
4 usinitegemee kwa chochote ila kwa kuchakatwa tuu
5 usiwe na mtoto
6 usiwe kabila lolote
7uwe mrembo hasa uwe mweupe sio wa kujichubua uko nyuma uwe na nyama za kutosha
8 uwe msafi
9 uwe na nyumba ya kuishi yani umejenga
10 kama unasifa hizo njo pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom