Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki Wa kiume umri kuanzia miaka 29 kuendelea awe anapenda kuchat awe ana nitafuta Mara kwa Mara

Kama hupendi kuchat usinitafute maana naitaji rafiki Wa kunitoa upweke
Wasiliana na mm PM niandikie namba yko. Niko Nairobi
 
Uende huko PM mkayajenge, nipate nafasi ya kupumua[emoji23][emoji23]
Weeh[emoji23]
Siwezi kabisa kukuacha wewe ice cream wa moyo wangu(sio tena barafu) ball corn wa moyo wangu
Siku nayokuacha ndio siku nakufa kabisaa[emoji23]
Afu ule uzi naandika keshoo[emoji7]
 
Natafuta rafiki Wa kiume umri kuanzia miaka 29 kuendelea awe anapenda kuchat awe ana nitafuta Mara kwa Mara

Kama hupendi kuchat usinitafute maana naitaji rafiki Wa kunitoa upweke
Ni pm namba. Hapa utachart sana tu
 
tusio na vigezo hapo tafadhali sana kusijaze uzi bure,tukae pembeni
 
Natafuta rafiki Wa kiume umri kuanzia miaka 29 kuendelea awe anapenda kuchat awe ana nitafuta Mara kwa Mara

Kama hupendi kuchat usinitafute maana naitaji rafiki Wa kunitoa upweke


Pesa tu ndio inayotafutwa Ova.
 
Back
Top Bottom