Mjibu tena aone 29 hayupo tunasaka pesa29 anayependa kuchat ? Hayupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjibu tena aone 29 hayupo tunasaka pesa29 anayependa kuchat ? Hayupo
Wasiliana na mm PM niandikie namba yko. Niko NairobiNatafuta rafiki Wa kiume umri kuanzia miaka 29 kuendelea awe anapenda kuchat awe ana nitafuta Mara kwa Mara
Kama hupendi kuchat usinitafute maana naitaji rafiki Wa kunitoa upweke
Akisema 20-24 PM yake itajaa fastaMjibu tena aone 29 hayupo tunasaka pesa
Uende huko PM mkayajenge, nipate nafasi ya kupumua[emoji23][emoji23]Ufungue PM waje
Weeh[emoji23]Uende huko PM mkayajenge, nipate nafasi ya kupumua[emoji23][emoji23]
Kama siku ya kuniacha utakufa, vipi nikikuacha utakuwaje?[emoji848]Weeh[emoji23]
Siwezi kabisa kukuacha wewe ice cream wa moyo wangu(sio tena barafu) ball corn wa moyo wangu
Siku nayokuacha ndio siku nakufa kabisaa[emoji23]
Afu ule uzi naandika keshoo[emoji7]
Ukiniacha nita pooza mwili mzimaKama siku ya kuniacha utakufa, vipi nikikuacha utakuwaje?[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukiniacha nita pooza mwili mzima
[emoji23]baby ujue napata wivu sana unavojibebisha humu kwa members wengine
[emoji23]hapo kwenye debe tupu ni tusi kwa mwanaume[emoji23][emoji23][emoji23]
Niache nitafute wa kunihudumia maana wewe ni 'debe tupu...'
Ni pm namba. Hapa utachart sana tuNatafuta rafiki Wa kiume umri kuanzia miaka 29 kuendelea awe anapenda kuchat awe ana nitafuta Mara kwa Mara
Kama hupendi kuchat usinitafute maana naitaji rafiki Wa kunitoa upweke
Nikupe namba hapa unitumie hiyo hela?[emoji23]hapo kwenye debe tupu ni tusi kwa mwanaume
Tatizo wewe mwenyewe hutaki kuijia pesa unataka nizitume PM ?
Nipe PMNikupe namba hapa unitumie hiyo hela?
Mimi nakupea hapa ili akitokea msamaria mwingine pia anirushe pesaNipe PM
Hapa utatongozwa afu uwakubali nipate presha.
Njoo kwa PM tuyajenge baby mama[emoji7]
No usinipe mbele za watu.sio desturi yetuMimi nakupea hapa ili akitokea msamaria mwingine pia anirushe pesa
Natafuta rafiki Wa kiume umri kuanzia miaka 29 kuendelea awe anapenda kuchat awe ana nitafuta Mara kwa Mara
Kama hupendi kuchat usinitafute maana naitaji rafiki Wa kunitoa upweke
Mkuu naomba urafiki na tuwe tuna chat mara kwa mara [emoji23][emoji23][emoji23]Uende huko PM mkayajenge, nipate nafasi ya kupumua[emoji23][emoji23]