Wilbert255
Member
- Apr 15, 2020
- 27
- 28
Watakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado najishauri....Wasubiri nn tena?
Usichague sana lakini.bado najishauri....
sichagui, ujue kila rafiki ni muhimu na kila rafiki ana manufaa yake...Usichague sana lakini.
Yah ni kwel....aya sas tiririkasichagui, ujue kila rafiki ni muhimu na kila rafiki ana manufaa yake...
wanaita urafiki wa faida...
Subiri covid iisheNina miaka 24.. Natafuta rafik wa kike.. Sifa sio inshu sana.. Vyovyote ulivyo saf tu uwe umejiajil au umeajiliwa saf tu.... Nina scarcity ya marafik wa kike..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wote nishawazoea, nahitaji changamoto mpyaMkuu hebu nenda direct kua unatafuta manzi, kama marafiki wa kike kuna uliosoma nao kuanzia msingi mpaka level uliyopo, kuna kazini na majirani, acha wale mnaokutana nao kwenye events mbalimbali.
Kuwa na rafiki wa kihaya alafu awe na mkwanja kuliko wewe, nadhani utapata changamoto mpya nyingi tu mpaka utazikimbia mwenyeweHao wote nishawazoea, nahitaji changamoto mpya
weupe wa mkologo hapana mpendwa
Njoo kwangu, kigezo changu kimoja tu usiniombe helaDini na urefu vimenikosesha mume mim [emoji24][emoji24][emoji24]
Sent from my iPhone using JamiiForums