Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
- Thread starter
- #141
Mi ndo nazijua nakuelekeza weweGramophone, vinyl player, turntable. Majina tu ila same line. View attachment 2310996
Hivi ni vitu tofauti kabisa, na ukijua utaelewa. .
33 rpm wabongo wengi wanaziita ALBUM Kwa sababu zilikuwa na nyimbo nyingi za Album. Ngoja nipige picha nikutumie pia uone tofauti ya 33, 45 na 78. 78 inakaa nyimbo mbili moja mbele moja nyuma, na material yake yako tofauti na hayo kabisa. .