Natafuta Santuri (CD kubwa za zamani aina ya Gramophone)

Natafuta Santuri (CD kubwa za zamani aina ya Gramophone)

Bado natafuta santuri. Kama kuna mtu anazo au anamjua mwenye nazo nanunua. .
IMG_20220531_200336_103.jpg
 
.
 

Attachments

  • IMG_20220130_204306.jpg
    IMG_20220130_204306.jpg
    143.5 KB · Views: 14
Mkuu , nenda Arusha , pale mnara wa saa, pandisha na njia ya Safari hotel kama unaelekea Ofisi za Jiji.

Jengo lapili mkono wa kushoto, utapata hapo.
 
1- 08- 2022
Bado natafuta santuri. God bless.
 
Habari

Kwa wale wasiojua masanturi ni nini, Santuri ni kama CD kubwa nyeusi zilikuwa zinatumika kucheza miziki ya zamani. Wengine huyaita masahani, players au gramophone records. Kama unayafahamu au unajua mahali yalipo naomba unitafute kwa PM. .

Kama unazo hizo santuri utaniuzia karibu PM, sharti ziwe katika ubora unaoweza kutumika. Zisiwe zimevunjika, kumegeka au zimekwaruzika juu ya uso wake kwa kuwa sitaweza kupiga nyimbo zake. .
View attachment 1388894
View attachment 1388895
View attachment 1388896
View attachment 1388897
Hiyo mashine inaitwa Vinyl player sio santuri. Santuri ni hizo sahani kwa English zinaitwa Vinyl.
 
https://www.jamiiforums.com/members/twilumba.32936/Jamaa ana 45 rpm wewe unazitaka hizi
Mie nanunua kubwa zake, hizo ulizonionyesha ni players zile ndogo zinaitwa 45 rpm na zimeandikwa hapo ukisoma kwenye picha 45 rpm

Mie natafuta 78 rpm, ambazo zinaitwa santuri na sio player. Ongea na jamaa Twilumba kama anazihitaji. Nitakutumia number za simu za watu wanaofatiliaga hizo kama atataka mtauziana.
Mashine za kuplya hizi kitu huwa zinakuwa na switch ya kubalance speed.
 
Hizo zote unazozungumzia ni players, zile kuba wengine wanaziita album kipindi hicho, hizo ndogo ni 45 rpm ndo zilipigwa sana miaka ya 80s
Nazotafuta mie ni za miaka ya 20s- late 60s. Baba yako anangeelewa nachokisema. Safari ya mziki Afrika imetoka mbali sana
Gramophone ni aina ya player sema inakuwa ya zamani a zote zinafanya shughuli moja. Mimi ninayo moja hapa ni ya mzee Philips ya miaka ya 1980's.

Inapiga sahani kubwa na ndogo. Alikuwa na sahani za akina Rwambo, chakachaka, Michael Jackson, Madonna, hawa tabora Jazz Band, Juwata, Elvis Presley, Don Williams, kuna visanturi hivi vidogo vimejaa sana bendi za zamani za Tanzania nashangaa sana namna tulikuwa na wasanii na walikuwa wanarekodi miaka hiyo halafu hawajulikani kwa kizazi cha sasa ukiuliza sana utaambiwa marijani wakati kuna ambao walikuwa wanaimba vizuri sana kumshinda marijani.
 
Hizi nazoziona kwenye picha ni 45 RPM unaona nyingine zimeandikwa 45 RPM. Una aina hii moja tu?
Aaaaah we unataka za speed ya 78rpm kumbe?! player yako kwani hairekebishi speed?
 
Nazunguka sana mwaka wa kumi na moja huu. Nikizipata nyingi huwa ziko badly stired. Kwenye uhifadhi watu walifeli sana. .
Watu hawajui kuheshimu vitu vya enzi. Hii mashine na hizi records mshua alinunua akiwa bado kijana mdogo. Ila leo hii kama unavyoona chombo kipo kinapiga mziki mzuri balaa.
 
Back
Top Bottom