BASATA kazi yake sasa hazielewek, yani mpaka watu wapige kelele kwanza ndio nyimbo ifungiwe. Kisheria kila mtu anatakiwa apeleke nyimbo yake basata kabla ya kuiachia kwa sababu za hati miliki na vitu vingine.Bongo ilikuwa ni RTD redio TANZANIA pia sera ya Nyerere ilikuwa ni lazima nyimbo ziwe edited na basata,matusi yanaimbwa kimafumbo sio siku hizi live hadi mtoto wa tumboni anajua hilo ni tusi.
Hizi bado sio za zamani, ni za miaka ya 70 hivi. Hizi ninazozungumzia ni za zamani zaidi kipindi kile cha ukoloni. .Zamani enzi za wazee wakoloni waliotoka zao vitani ndio walikuja na hizi record player au ukanunue Kenya likuwa ni bora uchezee kitu kingine na sio kugusa hiki kifaa au CD zake utahamu mji, walikuwa wakali Sana wazee wa zamani.
Hahaha wazee wetu walikuwa wanatumia science ila hawakujua jinsi inavyofanya kazi vyema. Science ya dynamo ya baiskeli ni science ya kitoto kabisa ila hata leo mashuleni hakuna science kwenye majaribio. .Hizi player zamani vijijini zilikuwa zinaendeshwa na daina moo ya baiskeli soo unanyonga baiskeli ndo betri then rekodi player inaplay sauti ni speaker za Ahuja zile kubwa za msikitini inafungwa juu ya mti, usiku vijana mbalimbali toka vijiji mbalimbali ndio disco watu pori kwa pori wanakatiza maporini usiku Wana mapanga na marungu wanakutana na wanyama mfano fisi, chui, simba wanafata mziki kilometa 10 usiku sauti ufika mbali sana. Wanakula mziki usiku kucha alfajiri wanawahi kurudi majumbani kuwahi namba shuleni viboko vinakusubiria saa moja kamili viboko vinakuhusu. Mingi ilikuwa ni miziki ya misibani.
Nakusanya nyimbo za kiafrica tu sikusanyi nyimbo za nje. Hizi za nje ziko kibao ila sinazo kabisa. Nitapost santuri zangu hapa watu waone ni nyingi kweli kweli. .Dah jamaa kweli ni collector. Sahani 1000+ ni nyingi sana babu. Ntakuja unigawie na mimi ila napenda za waimbaji wa mbele sana sana Jazz, R&B, na hiphop kama unazo.
Mimi nilininunua wakati fulani nadhani ni kupitia huu uzi..nilitengeneza art work moja nzur sana.....nimetundika ukutani....inapendeza sana kwa watu wanaojua hiyo kitu!!Aisee mbona kama unajichosha sana kutafuta hayo masanturi ya zamani! Hizo nyimbo za zamani baada ya kuzipata unazifanyia nini?
Au una kipindi cha redio unakiendesha?
Kuna kijana nimekutana nae yuko Arusha anatengeneza artwork za kuchora ila zinakuwa inspired na santuri. Kazi zake nzuri sana aisee, kuna watu wana vipaji. Ila sasa yeye hauzi art work zake akiniruhusu nije nipost nitakuja kuweka hapa mzione. .Mimi nilininunua wakati fulani nadhani ni kupitia huu uzi..nilitengeneza art work moja nzur sana.....nimetundika ukutani....inapendeza sana kwa watu wanaojua hiyo kitu!!
Naomba (contacts) namba yake ya simu!!Kuna kijana nimekutana nae yuko Arusha anatengeneza artwork za kuchora ila zinakuwa inspired na santuri. Kazi zake nzuri sana aisee, kuna watu wana vipaji. Ila sasa yeye hauzi art work zake akiniruhusu nije nipost nitakuja kuweka hapa mzione. .
Mkuu, mashine kama yako nitapata wapi na kwa bei gani ? Pia ni vyema ukiniambia bei za player zingine
Mkuu,mashine kama hii nitapata wapi na kwa bei gani ?Hapa napiga 45 rpm kwenye machine ya kisasa Goodmans. Hii nyimbo ilikuwa ya Abba inaitwa Fernando. .
Sema disk🤣🤣🤣Mbona inafanana na vile visahani vya kukatia vyuma?
Hii machine ni mpya sio za kizamani, zile za kizamani unaweza pata mitaani huko kama mtu alikuw nazo ila zile sikushauri kwa sababu nyingi zinaharibu santuri zake. .Mkuu, mashine kama yako nitapata wapi na kwa bei gani ? Pia ni vyema ukiniambia bei za player zingine
Subscribed.26 October 2022
Bado natafuta santuri. .
Wish you good day
On my side watching Ancient Aliens on history channel😊