Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie kwa nini amekuwa na tabia kama ameolewa na teja ndoa ya mitala!Nishaurini jamani wana JF nimfanyeje huyu mwanaume ili akasirike anipige nipate nafasi ya kuondoka,
Nataka anipige nikimbie
Heshimu maisha unayoishi na ulienae, unajua kuwa unachotaka kufanya ni kosa na bado unataka kufanya.Jamani mm nina heka heka zangu
Unampa na mwanaume apokee, aseme "acha kumsumbua mchumba wangu".Ivo tu ata awez kuchukia sana
Kwani si unataka uachwe au?Si nitaachwa mazima sa apo baadae ntajiteteaje nikisharudi
Sasa umecheka kwanin?😂😂😂😂😂😂😂😂Nmechekaaaaa kidogo nifeee
Jamni ni ka ishu ka maokotooo
Sijakukasirikia bali nimekupa sifa ambazo ndio unazo na ndio zimekutawala.Mbna umenikasirikia moendwa
Huyu anataka sababu ya yeye kupigwa, alafu akishapigwa atimke mbio ndio tabia zake kukimbia ila raundi hii ameplan kukimhia siku 3 bila kurudi.Sijalewa unachotaka uachike au upigwe tu?