Baba wa Mapaka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 1,827
- 1,655
Njoo nikuchepushe ili akigundua aondokeNishaurini jamani wana JF nimfanyeje huyu mwanaume ili akasirike anipige nipate nafasi ya kuondoka,
Nataka anipige nikimbie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo nikuchepushe ili akigundua aondokeNishaurini jamani wana JF nimfanyeje huyu mwanaume ili akasirike anipige nipate nafasi ya kuondoka,
Nataka anipige nikimbie
Mwambie umeota anapakuliwa asali.....Nishaurini jamani wana JF nimfanyeje huyu mwanaume ili akasirike anipige nipate nafasi ya kuondoka,
Nataka anipige nikimbie
Aise kuna watu wanateseka kwa kweli"eti atasononeka tu" imagine ndiyo mke wa mtu ndy anamtafutia mume wake visababu ili apate kisingizio akimbie nyumba kisa kanyimwa ruhusa! Pengine ulinyimwa hiyo ruhusa kwa sababu haina mashiko. Wewe utakuwa una mipango haribifu huko unakoenda siyo bure.[emoji41]Badala ya kuchukia atasononeka tu
Hapo mwanaume anaangamia vipi mkuu?Mkuu wanaume hua hatutupani,unampa mbinu Mwanamke ya kumuangamiza Mwanaume mwenzako?
Mleta mada anatakiwa apigwe spana mpaka aache huo ujinga.
Kicheche@workNi mpenz wang na nina mpenda sana ila sasa ana a lot of limitations na sababu zangu zote kwake hazina mashiko
Sitaki tuachane kuna sehemu tu nataka niende sasa njia zote za kuaga zinafel na nikiondoka bila kuaga nitaachwa bora yeye ndo anikosee
Karibu sana,nimefika kule na haupo mkuuNjoo dm
MkopeNishaurini jamani wana JF nimfanyeje huyu mwanaume ili akasirike anipige nipate nafasi ya kuondoka,
Nataka anipige nikimbie
LEGEND😂😂Mwambie akutatue linda,
1. Akikubali uondoke huku ukisingizia kumbe ndo tabia yeke.
2. Akikataa uondoke pia maana hataki unachopenda
Jinsia yako kwanza wewe ni Me au Ke? Yaan wewe ni Me unataka kuondoka kwa Me alafu Mimi nikupe ushauri?Nishaurini jamani wana JF nimfanyeje huyu mwanaume ili akasirike anipige nipate nafasi ya kuondoka,
Nataka anipige nikimbie
Ukipata na mie nishirikishe tafadhali.Nishaurini jamani wana JF nimfanyeje huyu mwanaume ili akasirike anipige nipate nafasi ya kuondoka,
Nataka anipige nikimbie
Ndio maana huwa nasema mwanamke anajua nini anataka na atatumia kila mbinu ili afanikishe anachohitaji. Sasa unaweza kuta mnabishana na mnakorofishana kwa jambo dogo tu uko serious kumbe mwenzako ana malengo yake umtandike akakamilishe jambo lake. Halafu eti unaenda kumuomba msamaha ndio anarudi kumbe mwenzako anakuona we boya tu.Sitaki tuachane kuna sehemu tu nataka niende sasa njia zote za kuaga zinafel na nikiondoka bila kuaga nitaachwa bora yeye ndo anikosee
😂😂😂😂Watu mna ushauri dahAu muulize dunia ni flat au duara?
Akijibu duara mwambie huwezi kukaa na mwanaume hajui kitu kidogo tu kuwa dunia ni flat.
Akikujibu ni flat mwambie huwezi kukaa na mwanaume hajui kitu kidogo tu kuwa dunia ni duara.
Hapo utakuwa umepata sababu ya kumuacha.
😂😂😂😂 dadeqMwambie akutatue linda,
1. Akikubali uondoke huku ukisingizia kumbe ndo tabia yeke.
2. Akikataa uondoke pia maana hataki unachopenda