Mnama
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 2,963
- 2,694
Fumaniwa yaisheNishaurini jamani wana JF nimfanyeje huyu mwanaume ili akasirike anipige nipate nafasi ya kuondoka,
Nataka anipige nikimbie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fumaniwa yaisheNishaurini jamani wana JF nimfanyeje huyu mwanaume ili akasirike anipige nipate nafasi ya kuondoka,
Nataka anipige nikimbie
AsanteeSajili namba nyingine kwa NIDA tofauti na Yako. , alaf isave kwa jina la kiume kwenye simu Yako. Install Whatsapp ya pili kwenye hiyo hiyo simu, but sajili kwa hiyo namba nyingine.
Then Anza kujichatisha kwa hiyo namba nyingine huku ukijitumia porn. Baada ya hapo, uninstall hiyo whatsp nyingine, then wait.
Nakuhakikishia akiziona hutokimbia, bali utakimbizwa hospital.
no, ain't mean kwamba wewe ndo una mzaha, ila mimi siwezi kuact kama mchepuko wakati sio kweliAm seriouz
[emoji23][emoji23][emoji23]Sajili namba nyingine kwa NIDA tofauti na Yako. , alaf isave kwa jina la kiume kwenye simu Yako. Install Whatsapp ya pili kwenye hiyo hiyo simu, but sajili kwa hiyo namba nyingine.
Then Anza kujichatisha kwa hiyo namba nyingine huku ukijitumia porn. Baada ya hapo, uninstall hiyo whatsp nyingine, then wait.
Nakuhakikishia akiziona hutokimbia, bali utakimbizwa hospital.
Mkuu wanaume hua hatutupani,unampa mbinu Mwanamke ya kumuangamiza Mwanaume mwenzako?Sajili namba nyingine kwa NIDA tofauti na Yako. , alaf isave kwa jina la kiume kwenye simu Yako. Install Whatsapp ya pili kwenye hiyo hiyo simu, but sajili kwa hiyo namba nyingine.
Then Anza kujichatisha kwa hiyo namba nyingine huku ukijitumia porn. Baada ya hapo, uninstall hiyo whatsp nyingine, then wait.
Nakuhakikishia akiziona hutokimbia, bali utakimbizwa hospital.
Unastahili PHD ya heshimaMwambie akutatue linda,
1. akikubali uondoke huku ukisingizia kumbe ndo tabia yeke.
2. akikataa uondoke pia maana hataki unachopenda
Unataka niwe unavyotaka wewe?We mbna unakuwa ivoo lakini
Ndio yule aliekatwa na panga kichwani?
ahahahahhahahhaa dah!Sitaki tuachane kuna sehemu tu nataka niende sasa njia zote za kuaga zinafel na nikiondoka bila kuaga nitaachwa bora yeye ndo anikosee
Nn tena?????
Hii ndio jeiefu, muhuni alitaka utelezi akiwa majeruhi.[emoji23][emoji23][emoji23]
We umeua😃😃Mwambie akutatue linda,
1. akikubali uondoke huku ukisingizia kumbe ndo tabia yeke.
2. akikataa uondoke pia maana hataki unachopenda
Nn tena????Faida za ndoa kwa mwanamke si kwa ajili yake mwenyewe, mara nyingi ni kwa ajili ya kitu fulani au watu fulani
Utasikia tu: Ndoa ni heshima kwa wazazi Ndoa ni heshima kwenye jamiii Ndoa ni heshima kanisani Na hata mtu akitaka kuvunja et anawaza Nitaonekanaje mtaani Nitawaaibisha wazazi wangu Kwa maana iyo wanawake weng wameolewa kwa ajili watu na sio mapenzi yao na laiti kma kusingekuwa na mitazamo...www.jamiiforums.com