Yaan nataka baadae kosa liwe upande wake yeye ndo aniombee msamaha afu ntamsamehe nirudiiiMaana yake huna sababu ya kumuacha umemchoka tu,
Anza kuchepuka atakudaka tu sikumoja.
Kwanini unataka akupige? Au unamtafutia kesi uende ustawi wa jamii umchune hela sio?
Kua tu mkweli kwamba unataka kwenda kutiwa na huo mchepuko ulioupata,ila huo mchepuko ukisha maliza shida zake utakuona wewe ni kama Pipa la taka tu na mtu usiyekua na msimamo.Apana nataka nijifanye nimekosewa ili niondoke kwa mudaa afu baadae mambo yangu yakiisha nitajidai hasira zimeisha
Ama kweli, tuishi nao kwa akili sana.Apana nataka nijifanye nimekosewa ili niondoke kwa mudaa afu baadae mambo yangu yakiisha nitajidai hasira zimeisha
Amekupa hifadhi kwenye akili yake mtu usiyestahili.Sawa ila mm sijapewa hifadhiii
Nyie ndo wale mnapenda drama𤣠kumbe ni kweli mpoYaan nataka baadae kosa liwe upande wake yeye ndo aniombee msamaha afu ntamsamehe nirudiii
me sipendagi mzahaSina kabisa naomba uwe wew basi kwa leo
Huwezi kumcheat mtu unayempenda kwa lengo lolote lile,ndio maana nakwambia kua huna akili.Ungejua ninavompenda sasa
Huyu hafai hata kua mchepuko,huyu unagonga kisha hutamani tena kuonana nae.Nyie ndo wale mnapenda drama𤣠kumbe ni kweli mpo
Wewe unafaa kua mchepuko tu na si vinginevyo
Sikushauri ng'o
Sajili namba nyingine kwa NIDA tofauti na Yako. , alaf isave kwa jina la kiume kwenye simu Yako. Install Whatsapp ya pili kwenye hiyo hiyo simu, but sajili kwa hiyo namba nyingine.Nishaurini jamani wana JF nimfanyeje huyu mwanaume ili akasirike anipige nipate nafasi ya kuondoka,
Nataka anipige nikimbie
Uliomba ushauri wakati mnaanza?Nishaurini jamani wana JF nimfanyeje huyu mwanaume ili akasirike anipige nipate nafasi ya kuondoka,
Nataka anipige nikimbie
Unampenda kweli huyo mwanaume wako? Kumbuka kuna watu hawajaribiwi ni kama kutikisa kiberiti mambo yatajibu kweli urudi tena kuomba ushauri wa kurudiana nae. Shauri yako.Yaan nataka baadae kosa liwe upande wake yeye ndo aniombee msamaha afu ntamsamehe nirudiii