Nataka kuachana na Mwanamke niliyemtolea mahari

Usukumani hahahahaha
 
Kama ushakula Tunda hata mara Moja achana nae Kuhusu Mahali usiwaze hela zinatafutwa Mkuu.
 
Nyie mnadhan ndoa ni masihara,ngoja mnyoke
 
Piga chini mchongo huo
 
Huku Dar hukuwa na wanawake?au ndo uliwatumia kama kipoozeo tu kuoa ukaenda Mara.
Sasa nakuambiaje vita ni vita mura pambana na hali yako.
Wanawake wa Dar nao niwakuoa
Zalishaa sepa
 
Mkuu Kama bado hujazaa naye na umeshayaona mapungufu yake mapema Bora utuishe mzigo mapema Tafta mtu sahihi ambaye moyo wako unapenda usichukue mtu kwa kuwasikiliza watu/ wajumbe
Ninachoona hapa, mtoa mada kaowa kwaajiri ya mbususu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jamaa hizo ni ishara za mapema kwamba hakuna kitu hapo,

Chunga usimtie Mimba wala usisubiri ushauri wa Wazee
, P asikudanganye mtu eti NDOA ni kuvumiliana, ni wapi kumeandikwa hivyo? Maisha ni Amani, Kama hiyo AMANI hamna na upo kwenye mahusiano mnayofikiri ni Ndoa, USIPOTEZE MUDA WAKO MKUU

TUWA CHINI HUWO MZIGO.
 
Kwa akili uliyo nayo na umri ulio nao unahisi mdada wa miaka 20 ukimuoa atafanya nini? Shame on you
 
Mwanamke wa nini kama papuchi hakupatii. Achana nae utafute mwingine mwezi mzima. Anafikiri kukupa papuchi ni kukuonea huruma au fadhila hajui kwamba ni wajibu. Ndio maana watu wanawapiga wake zao kwasababu ya kunyimwa papuchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…