Nataka kuachana na Mwanamke niliyemtolea mahari

Mwanamke wa nini kama papuchi hakupatii. Achana nae utafute mwingine mwezi mzima. Anafikiri kukupa papuchi ni kukuonea huruma au fadhila hajui kwamba ni wajibu. Ndio maana watu wanawapiga wake zao kwasababu ya kunyimwa papuchi
Yaani acha tu kaka na Mimi napenda Sana Papuchi angalau mara mbili kwa wiki.
 
Unaishi nae wapi kwa sasa? Naomba namba zake tafadhali nimshauri atabadilika
 
Mara lakimoja aowe mikoani kuriko dar babaa. Mabinto wa dar most of zem jeuri, malaya, vibuli na ujuwaji mnoo.


Muraa Pore sana,,,,kuna msemo unasema "uckosee kuowa"

Duuh hapana sio wote bhana

afu hizi myths bhana sio poa kwahio tuliozaliwa Dar itakuaje[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]

Itabidi kila likizo nirudi kijijini kule bush kwetu kule[emoji75][emoji75][emoji75][emoji75] nisije zeeka na hili jiji
 
Unaenda kuoa binti ambae mama yake ndoa imemshinda au ameachika jua hapo hauna mke
 
Duuh hapana sio wote bhana

afu hizi myths bhana sio poa kwahio tuliozaliwa Dar itakuaje[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]

Itabidi kila likizo nirudi kijijini kule bush kwetu kule[emoji75][emoji75][emoji75][emoji75] nisije zeeka na hili jiji
Hatari sana
Dar hii inatuponza sana ..
 
Umemtolea mahari, unaishi nae, mke wako, mbona kama kichwa cha habari kinaonesha umetoa mahari ila haujamuoa? Halafu kwenye maelezo unaonesha umemuoa na unaishi nae.....
Anyway mtu usiyemjua unaenda kumjulia ndoani, mke unayeishi nae ni wewe sio wanaokutafutia......
Ongea na moyo wako kuanza upya si ujinga, muhimu upate amani ya moyo sio mradi tuu uonekane umeoa
 
Achana nae mkuu. Ila kabla ya kuachana nae naomba unitumie namba yake ya simu aisee. Watu tupo singo nyie mnapambana kujitoa.
 
Duuh hapana sio wote bhana

afu hizi myths bhana sio poa kwahio tuliozaliwa Dar itakuaje[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]

Itabidi kila likizo nirudi kijijini kule bush kwetu kule[emoji75][emoji75][emoji75][emoji75] nisije zeeka na hili jiji

Co wote chifu,,,wako wanaojitambua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…