Nataka kuachana na mwanamke

Watoto 15 kwa 250k? Okay.
 
Baba yako angekuwa bwegeee kama wewe ungekuwa wapi?
You never know, labda ningekuwa humu duniani au angenizaa na mwanamke kwa mkataba wa kubeba mimba tu, na kisha akalipia gharama za mtoto kila mmoja akachukua hamsini zake.
 
Watoto 15 kwa 250k? Okay.
Kwa kipindi hicho kuna uwezekano familia ikasonga maana wazee wetu walikuwa wanafuga na pia watoto wanaishi popote bila lawama (mali ya jamii nzima) pia mahitaji hasa elimu bora haikuwa lazima kwa wote n.k
 
Reactions: Cyb

Mimi mwenyewe nimefanikiwa kukimbia baada ya kupata mwanamke mzigo tena mzigo mzito! Mwanamke haeleweki hana future mwanamke yupo yupo tu nikaona hizi huruma ndio chanzo cha matatizo yote haya! Furushi la giza!
 
Kosa la Mwanamke hapo ni nini?
Unataka kuongeza idadi ya Single mother?
 
Mimi mwenyewe nimefanikiwa kukimbia baada ya kupata mwanamke mzigo tena mzigo mzito! Mwanamke haeleweki hana future mwanamke yupo yupo tu nikaona hizi huruma ndio chanzo cha matatizo yote haya! Furushi la giza!
Yaani jamaa na mshahara wote huo bado mm wa mtaani nimempita kimaendeleo maana tulikuwa tunashirikiana mtaa kwa mtaa kupiga job yeye alivyopata serikalini na mke juu ndipo akawa anakuja maskani na vilio kila leo...πŸ˜„πŸ˜„

Kawa na stress yaani siyo yule wa zamani aiseee cheza mbali na wanawake πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Kosa la Mwanamke hapo ni nini?
Unataka kuongeza idadi ya Single mother?
Nahisi kama huyo mwanamke hajiongezi anahisi kuwa kapata bwana mtumishi wa serikali hivyo kabweteka kutafuna kamshahara ka jamaaa πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Mkuu kweli mahemezi yatamalia 900k. Nadhani kuna sehemu anachanganya mambo
huwezi amini alivyonieleza nikabisha akanitafutia payroll nikacheki ....nikabakia nikisema....daaaah!!! 😳😳
 
Kuoa ni utumwa wanawake tuwapige shoo tu hakuna kuoa Yesu mwenyewe hakuoa wewe nani hadi uoe
Huu ndiyo msingi wa dunia hii, "Ishi wewe"..."Okoa maokoto yakuzike"
 
Kwa hali hii nilikuwa nimeshaanza kumsikiliza mama swala la umekua oa. Ila kwa sasa nijipange kumpiga kalenda. 900 elfu imeshindwa kuendesha familia? Je sisi ambao tukibahatisha kwa mwezi tunakula chini ya 500k tutaweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…