Wale huwa wanapewa 200/= tu.Labda atayafuata magari barabarani umesahau kale kamchezo kwenye foleni magari yakisimama kwa red light Jamaa anakuja na kibrash na kisado cha maji anaanza kusafisha kioo cha mbele akimaliza anakuja kukinga mkono dirishani alipwe
Aisee kumbe 200×10 = 2000Wale huwa wanapewa 200/= tu.
Hizo kozi ulizoambiwa za mwisho achana nazo skushauri maana hazina faida kwa jamii utakuwa unapoteza muda tu .Niende kwenye mada moja kwa moja
Mimi ni mwalimu kiwango cha elimu ni diploma katika masomo ya PHYSICS na BIOLOGY,,,
Baada ya misuko suko ya ualimu ikiwa ni pamoja na kupigwa na maisha vizuri tu,
Nimekaa na kuamua kurudi shule kusoma / kujiendeleza kielimu.
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu naweza soma course gani nje ya ualimu ambayo itakua na tija kidogo kwa taifa letu (ualimu siutaki tena Mimi nimechoka),
Sifa ni diploma ya ualimu wa sayansi katika masomo niliyo taja (PHYSICS na BIOLOGY).
Japo kuna watu wamenishauli kwa chet changu hicho cha diploma nikasomee bacherol of science in PHYSICS or bacherol of science in BIOLOGY .
Naombeni ushauri jamani ualimu umenishinda nimeinua mikono juu....
NAWASILISHA.
Niliajiriwa nikiwa Afisa kata wa fani X
Baada ya kufanya Kazi mwaka nikarudi chuo kusoma fani Y (Nilidanganya kwa DED naenda kusoma X ila nikaenda kusoma Y).
Na kibaya/kizuri zaidi nikaunga kabisaa mpaka masters ya Y.
Kurudi kazini (baada ya kutoka chuo) nikawasilisha cheti.
Baada ya miezi kadhaa nikafayiwa recategorization na kwenda kwenye hiyo Idara ya Y, nikafanya Kazi miezi 8 nikapata shavu la KUKAIMU MKUU WA IDARA.
The point is Amoc thefdon unaweza kusoma chochote na kufanya Kazi yoyote.
Ukirudi kazini ukakuta HR anazingua Kuna fursa kibaoo...
1. Kuhamia ofisi nyengine ya serikali (transfer)
2. Kuomba Kazi upya kupitia Ajira.go.tz
#YNWA
Naona yeye aliamini atapata kazi haraka kwa kozi aliyoenda kuisoma na hakuhangaika arudi kazini kwa kudanganya ili aendelee kulinda mkate wakeAngerudi Kwa kisingizio kwamba alidisco chuoni angeendelea na kazi . Watu wengi wamesomea vitu tofauti na ualimu na hawajatolewa kwenye ajira zao chamsingi unaaga unaenda kusomea ualimu pia uwe na joining instructions ya kwamba umechaguliwa kusomea education. Ila unasoma Chuo kingine at the end unarudi kuendelea kufundisha huku unatafuta namna ya kufanyiwa recategorization ili ubadilishe muundo wa kazi yako.
Hiyo option ya pili ni mbayaNiliajiriwa nikiwa Afisa kata wa fani X
Baada ya kufanya Kazi mwaka nikarudi chuo kusoma fani Y (Nilidanganya kwa DED naenda kusoma X ila nikaenda kusoma Y).
Na kibaya/kizuri zaidi nikaunga kabisaa mpaka masters ya Y.
Kurudi kazini (baada ya kutoka chuo) nikawasilisha cheti.
Baada ya miezi kadhaa nikafayiwa recategorization na kwenda kwenye hiyo Idara ya Y, nikafanya Kazi miezi 8 nikapata shavu la KUKAIMU MKUU WA IDARA.
The point is Amoc thefdon unaweza kusoma chochote na kufanya Kazi yoyote.
Ukirudi kazini ukakuta HR anazingua Kuna fursa kibaoo...
1. Kuhamia ofisi nyengine ya serikali (transfer)
2. Kuomba Kazi upya kupitia Ajira.go.tz
#YNWA
Unaacha ualimu kwa njia ya kushauriwa na watu!? Acha kwa spirit yako mwenyewe utatoboaNiende kwenye mada moja kwa moja
Mimi ni mwalimu kiwango cha elimu ni diploma katika masomo ya PHYSICS na BIOLOGY,,,
Baada ya misuko suko ya ualimu ikiwa ni pamoja na kupigwa na maisha vizuri tu,
Nimekaa na kuamua kurudi shule kusoma / kujiendeleza kielimu.
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu naweza soma course gani nje ya ualimu ambayo itakua na tija kidogo kwa taifa letu (ualimu siutaki tena Mimi nimechoka),
Sifa ni diploma ya ualimu wa sayansi katika masomo niliyo taja (PHYSICS na BIOLOGY).
Japo kuna watu wamenishauli kwa chet changu hicho cha diploma nikasomee bacherol of science in PHYSICS or bacherol of science in BIOLOGY .
Naombeni ushauri jamani ualimu umenishinda nimeinua mikono juu....
NAWASILISHA.
Hiyo option ya pili ni mbaya
Kilichokusaidia sana naona ni kuunga hadi Master(Specialize), hapa ulibobea na ukatengezea wigo mpana. Kwa ambaye ataishia Bachelor ya Kozi Y badala ya Kozi yake X ya awali ndio patakuwa na shida labda ujuane na mwajiri wako ili asikumind
Kweli mkuu, aliamini atapata kazi haraka ila ikawa kinyumeUjinga alioufanya ni kutorudi kazini hata kama alidanganya... angerudi na kama wangemzingua angepambana ahame halmashauri..
Akishaacha akifika mtaani ndio atajua hajui.Nakushauri usiache kwanza ualimu. Kama una chanzo cha uchumi kilichosimama naweza kukubaliana na wazo lako la kuacha Ualimu, sasa hivi tatizo la ajira ni kubwa zaidi ya tunavyolizungumza.
Pole sana MkuuNASHUKURU sana ndugu yangu....siku bahatika kupata...kwakweli iliniuma sana nilikesha usiku kucha nikashinda mchana kutwa takribani wiki 2...za kupambania kombe bila mafanikio...
nakumbuka mashujaa waliopambana vita na eid amini dada, kipindi wanarudi walikuwa wanaimba kuwa "mashujaa waliokufa wamekufa kishujaa na mashujaa tuliorudi tumerudi kishujaa"Pole sana Mkuu
Naukumbuka ule uzi wako ulitupa mwanga wengi.
Yote kwa yote maisha ni kupambana acha tuendelee kupambana.
ALILIPIWA ADA NA NANI?Mshikaji wangu alikuwa mwalimu shule ya msingi. Akaupiga chini akaenda kusoma diploma medicine akamaliza akapiga degree medicine sasa hivi ni doctor.
Wakati aliacha kazi ilikuwa kama masihara. Mwisho alitoboa.
Tatizo sio mshahara....tatizo umetoka familia masikini sana.....na hilo sio tatizo lako mkuuUpo sahihi .... mshahara umetoka jana lakin leo sina kitu na gas inaelekea ukingoni , na ndugu na wadogo zangu wanaomba chochote, wanaamini nnakaz nna pesa kumbe taabu tupu
Unamaanisha?Tatizo sio mshahara....tatizo umetoka familia masikini sana.....na hilo sio tatizo lako mkuu
Serikali inapopanga mshahara laki 4 kwa mwezi imepanga kwa ajilk yako mtu mmoja anayefanya kazikwa maana kuwa unatosha kula, kulala na kuvaa, mambo yako ya mke, watoto, ndugu zako na mama yako hayo ni yako binafsi.Tatizo sio mshahara....tatizo umetoka familia masikini sana.....na hilo sio tatizo lako mkuu
Miaka ya nyuma iliwezekana..Ila saiz waliomaliza ni wengi katika kila faniMshikaji wangu alikuwa mwalimu shule ya msingi. Akaupiga chini akaenda kusoma diploma medicine akamaliza akapiga degree medicine sasa hivi ni doctor.
Wakati aliacha kazi ilikuwa kama masihara. Mwisho alitoboa.