Niliajiriwa nikiwa Afisa kata wa fani X
Baada ya kufanya Kazi mwaka nikarudi chuo kusoma fani Y (Nilidanganya kwa DED naenda kusoma X ila nikaenda kusoma Y).
Na kibaya/kizuri zaidi nikaunga kabisaa mpaka masters ya Y.
Kurudi kazini (baada ya kutoka chuo) nikawasilisha cheti.
Baada ya miezi kadhaa nikafayiwa recategorization na kwenda kwenye hiyo Idara ya Y, nikafanya Kazi miezi 8 nikapata shavu la KUKAIMU MKUU WA IDARA.
The point is
Amoc thefdon unaweza kusoma chochote na kufanya Kazi yoyote.
Ukirudi kazini ukakuta HR anazingua Kuna fursa kibaoo...
1. Kuhamia ofisi nyengine ya serikali (transfer)
2. Kuomba Kazi upya kupitia Ajira.go.tz
#YNWA