Nataka kuachana na ualimu haraka. Nikimbilie wapi?

Nataka kuachana na ualimu haraka. Nikimbilie wapi?

Niende kwenye mada moja kwa moja

Mimi ni mwalimu kiwango cha elimu ni diploma katika masomo ya PHYSICS na BIOLOGY,,,

Baada ya misuko suko ya ualimu ikiwa ni pamoja na kupigwa na maisha vizuri tu,
Nimekaa na kuamua kurudi shule kusoma / kujiendeleza kielimu.

Ndugu zangu naombeni ushauri wenu naweza soma course gani nje ya ualimu ambayo itakua na tija kidogo kwa taifa letu (ualimu siutaki tena Mimi nimechoka),

Sifa ni diploma ya ualimu wa sayansi katika masomo niliyo taja (PHYSICS na BIOLOGY).

Japo kuna watu wamenishauli kwa chet changu hicho cha diploma nikasomee bacherol of science in PHYSICS or bacherol of science in BIOLOGY .

Naombeni ushauri jamani ualimu umenishinda nimeinua mikono juu....

NAWASILISHA.
Hizo kozi ulizoambiwa za mwisho achana nazo skushauri maana hazina faida kwa jamii utakuwa unapoteza muda tu .

Angalia nyengine mkuu , hao waliokushauri hawana nia njema na wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Niliajiriwa nikiwa Afisa kata wa fani X
Baada ya kufanya Kazi mwaka nikarudi chuo kusoma fani Y (Nilidanganya kwa DED naenda kusoma X ila nikaenda kusoma Y).

Na kibaya/kizuri zaidi nikaunga kabisaa mpaka masters ya Y.

Kurudi kazini (baada ya kutoka chuo) nikawasilisha cheti.
Baada ya miezi kadhaa nikafayiwa recategorization na kwenda kwenye hiyo Idara ya Y, nikafanya Kazi miezi 8 nikapata shavu la KUKAIMU MKUU WA IDARA.

The point is Amoc thefdon unaweza kusoma chochote na kufanya Kazi yoyote.

Ukirudi kazini ukakuta HR anazingua Kuna fursa kibaoo...
1. Kuhamia ofisi nyengine ya serikali (transfer)
2. Kuomba Kazi upya kupitia Ajira.go.tz

#YNWA

Kilichokusaidia sana naona ni kuunga hadi Master(Specialize), hapa ulibobea na ukatengezea wigo mpana. Kwa ambaye ataishia Bachelor ya Kozi Y badala ya Kozi yake X ya awali ndio patakuwa na shida labda ujuane na mwajiri wako ili asikumind
 
Angerudi Kwa kisingizio kwamba alidisco chuoni angeendelea na kazi . Watu wengi wamesomea vitu tofauti na ualimu na hawajatolewa kwenye ajira zao chamsingi unaaga unaenda kusomea ualimu pia uwe na joining instructions ya kwamba umechaguliwa kusomea education. Ila unasoma Chuo kingine at the end unarudi kuendelea kufundisha huku unatafuta namna ya kufanyiwa recategorization ili ubadilishe muundo wa kazi yako.
Naona yeye aliamini atapata kazi haraka kwa kozi aliyoenda kuisoma na hakuhangaika arudi kazini kwa kudanganya ili aendelee kulinda mkate wake
 
Niliajiriwa nikiwa Afisa kata wa fani X
Baada ya kufanya Kazi mwaka nikarudi chuo kusoma fani Y (Nilidanganya kwa DED naenda kusoma X ila nikaenda kusoma Y).

Na kibaya/kizuri zaidi nikaunga kabisaa mpaka masters ya Y.

Kurudi kazini (baada ya kutoka chuo) nikawasilisha cheti.
Baada ya miezi kadhaa nikafayiwa recategorization na kwenda kwenye hiyo Idara ya Y, nikafanya Kazi miezi 8 nikapata shavu la KUKAIMU MKUU WA IDARA.

The point is Amoc thefdon unaweza kusoma chochote na kufanya Kazi yoyote.

Ukirudi kazini ukakuta HR anazingua Kuna fursa kibaoo...
1. Kuhamia ofisi nyengine ya serikali (transfer)
2. Kuomba Kazi upya kupitia Ajira.go.tz

#YNWA
Hiyo option ya pili ni mbaya
 
Niende kwenye mada moja kwa moja

Mimi ni mwalimu kiwango cha elimu ni diploma katika masomo ya PHYSICS na BIOLOGY,,,

Baada ya misuko suko ya ualimu ikiwa ni pamoja na kupigwa na maisha vizuri tu,
Nimekaa na kuamua kurudi shule kusoma / kujiendeleza kielimu.

Ndugu zangu naombeni ushauri wenu naweza soma course gani nje ya ualimu ambayo itakua na tija kidogo kwa taifa letu (ualimu siutaki tena Mimi nimechoka),

Sifa ni diploma ya ualimu wa sayansi katika masomo niliyo taja (PHYSICS na BIOLOGY).

Japo kuna watu wamenishauli kwa chet changu hicho cha diploma nikasomee bacherol of science in PHYSICS or bacherol of science in BIOLOGY .

Naombeni ushauri jamani ualimu umenishinda nimeinua mikono juu....

NAWASILISHA.
Unaacha ualimu kwa njia ya kushauriwa na watu!? Acha kwa spirit yako mwenyewe utatoboa
 
Kilichokusaidia sana naona ni kuunga hadi Master(Specialize), hapa ulibobea na ukatengezea wigo mpana. Kwa ambaye ataishia Bachelor ya Kozi Y badala ya Kozi yake X ya awali ndio patakuwa na shida labda ujuane na mwajiri wako ili asikumind

Kilichonisaidia ni ile spirit niliyokuwa nayo na uthubutu wangu.

#YNWA
 
Pole sana Mkuu
Naukumbuka ule uzi wako ulitupa mwanga wengi.
Yote kwa yote maisha ni kupambana acha tuendelee kupambana.
nakumbuka mashujaa waliopambana vita na eid amini dada, kipindi wanarudi walikuwa wanaimba kuwa "mashujaa waliokufa wamekufa kishujaa na mashujaa tuliorudi tumerudi kishujaa"

na mimi nakazi kuwa "waliopata wamepata kishujaa na tuliokosa tumekosa kishujaa"
 
Tatizo sio mshahara....tatizo umetoka familia masikini sana.....na hilo sio tatizo lako mkuu
Serikali inapopanga mshahara laki 4 kwa mwezi imepanga kwa ajilk yako mtu mmoja anayefanya kazikwa maana kuwa unatosha kula, kulala na kuvaa, mambo yako ya mke, watoto, ndugu zako na mama yako hayo ni yako binafsi.
 
Back
Top Bottom