Nataka kuanzisha harambee ya kumnunulia Rais Samia shamba Kaliua ili aachane na siasa 2025

Mama anaweza kuwa na weakness Ila. Weakness kubwa zimejitokeza uchaguzi wa 2020 hivyo binafsi Kwa upande wangu mitano tena.
Shida ilianzishwa na Rais Jpm na tuliwambia kwamba huko mbeleni mtavuna matunda ya matendo haya.

Mama anajitahidi kurejesha hali lakini it is beyond Repair
 
Shida ilianzishwa na Rais Jpm na tuliwambia kwamba huko mbeleni mtavuna matunda ya matendo haya.

Mama anajitahidi kurejesha hali lakini it is beyond Repair



Huo ndo ukweli mkuu ,

J p m ameacha mashimo makubwa kizimkazi anashindwa kuyafukia maana inamuhitaji miaka 10 na kuendelea ili kufukia mashimo.
 
Huo ndo ukweli mkuu ,

J p m ameacha mashimo makubwa kizimkazi anashindwa kuyafukia maana inamuhitaji miaka 10 na kuendelea ili kufukia mashimo.
Tangu wakati ule tuliwambia watu mambo yanavyokwenda Mtakwama huko Mbele ...bahati mabya hata Yeye Mwenyewe hakutusikiliza.
 
Naomba uanze na mimi ,sina ajira ilo shamba litanisahidiq ,naomba uanze na mimi
 
Wasiliana na mbinguni kwanza maana makonda kasema wameshamchukulia fomu ya kugombea urais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…